logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,240
- 5,533
Tafteni mechi moja ya fitness ili tarehe 25 tusipoteane.
Wenzetu Simba tangu tucheze wana mechi ya pili leo wakati sisi tumepumzika wiki nzima sasa tunaburudika na kuoga noti za GSM.
Mfikishieni ushauri huu kocha wetu mahiri Nabi.
Ni hayo kwa leo, zingatieni maana naona hatari ya kukata pumzi Mapema.
Wenzetu Simba tangu tucheze wana mechi ya pili leo wakati sisi tumepumzika wiki nzima sasa tunaburudika na kuoga noti za GSM.
Mfikishieni ushauri huu kocha wetu mahiri Nabi.
Ni hayo kwa leo, zingatieni maana naona hatari ya kukata pumzi Mapema.