Tujadili Hoja wajameni. Matusi si uungwana.
Hao hawanunuliki eeee,ungejua dhamani ya CHADEMA msingekuwa wezi wa kura. Tokea lini unajua umuhimu wa CHADEMA?Acha unafki jenga Chama chako maana huna lolote ndani ya chadema wala huwapangia loloteCHADEMA ilikuwa na thamani chini ya katibu Mkuu Dr Slaa. CHADEMA ya sasa ni pango la majizi na mafisadi
Hao hawanunuliki eeee,ungejua dhamani ya CHADEMA msingekuwa wezi wa kura. Tokea lini unajua umuhimu wa CHADEMA?Acha unafki jenga Chama chako maana huna lolote ndani ya chadema wala huwapangia loloteCHADEMA ilikuwa na thamani chini ya katibu Mkuu Dr Slaa. CHADEMA ya sasa ni pango la majizi na mafisadi
Unamzungumzia Huyo ambae ikulu imemwokolea nyumba yake. Ndio anafaa CDM kwa faida yenu. Katafute hoja nyingine.CHADEMA ilikuwa na thamani chini ya katibu Mkuu Dr Slaa. CHADEMA ya sasa ni pango la majizi na mafisadi
Unajuwa kitu kinaitwa life cycle?...tamaa imefupisha maisha ya chadema,CCM wamewachezea shere chadema...kwa sasa wanamkakati,wasemaji na waamuzi wakuu ni chademaccm..hii itahitaji uwe na uzoefu na macho makali,Mrema alikuwaa mkali ungekuwepo usingeamini kama ndiye huyu wa leo!....utachukuwa miaka zaidi ya miaka 10 kujua kama hutojishughulisha...kwasasa kila mechi muhimu ccm watashinda bila presha!Hapana mzee wangu nimetimiza umr wa kura 2003 Mimi lakini sioni kama mfano wako uko sahihi!!! Grow ya CDM ni exponential ever since it was created
Wakati graph ya Mrema since 1995 on wards was a downfall
Chadema IPO imara kuliko wakati mwigine wowote, acheni kupiga domo fanyeni kaziInahitaji kujitoa ufahamu ili kuifahamu dira ya Chadema kwa sasa. !
Hujasema kitu! Unalalamika tu!Amini usiamini huwa sielewi Julian alipata distinction gani katika masomo yake maana she is reasoning as if has never ever been to school!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
- The first objective of any political party including CCM is to rule the country by creating a government. CHADEMA is not spared as it is not a charity organization it wants to rule. Msomi kama wewe ukishangaa chama kuwa more ambitious kuuda serikali inakuwa unaonyesha sehemu ya ujuwa wako katika siasa. Your lovely party imefanya mambo mengi sana mabaya na ya ajabu sana to insure it remains in power because it is its main and foremost objective.
- Will respond on other raised criticisms once you acknowledge your understanding of main and foremost political party objective as don't like to go on wasting time and precious calories on a politically dead body of like.
Amemaliza kusema nawe una rudi kulekuleSasa kama Chadema inakufa si ndiyo full shangwe hapo Lumumba? Jamani uchaguziumekwisha sasa ni wakati wa kufanya kazi, fanyeni yenu na sisi tuacheni tufanye yetu.
Hahaha
Wacha nijichekee mie
Kila siku tunasema
Chama hiki hakina watu waliopo kwenye kazi kweli kweli
Kutegemea maamuzi ya MBOWE pekee bila kutathmini kile anacho kiamua
Nikupiteza muda
Chama kisicho tambua Mahakama
Chama kisicho kuwa na ushauri wowote
Chama kinacho tegemea vijana wanywa Viroba
Wacha tuone hahahaha
Ninyi ndo sikio LA kufa, kila siku twakuambieni hamtaki, bahati mbaya sana hata huyo jini wenu anowasaidiaga tushamjua, tunawapaiga piniSikio la kufa?
Wafuga fisi hao katu hawatokuelewa,pamoja na kuibiwa mtu kapata kura zaidi ya million sita mnasema kashindwa kwa aibu???
watu wengine mnamatatizo sana na maigizo wafanyayo viongozi wa ccm yanawatia upofu..
huyo magufuli kafanya kipya kipi mpaka awe mfano wa kuigwa dunia nzima,,zaidi ya kufanya maamuzi ya kukurupuka nakutafuta sifa..
hawa jamaa wana matatizo makubwa sanapamoja na kuibiwa mtu kapata kura zaidi ya million sita mnasema kashindwa kwa aibu???
watu wengine mnamatatizo sana na maigizo wafanyayo viongozi wa ccm yanawatia upofu..
huyo magufuli kafanya kipya kipi mpaka awe mfano wa kuigwa dunia nzima,,zaidi ya kufanya maamuzi ya kukurupuka nakutafuta sifa..