Mkuu tindo mambo mengine muache siasa ,hatulisaidii taifa ,hapa unaeleza mawazo yako na hisia zako zote ,kwa maana unajieleza ,uhuru upi unaoutaka ?, wa kutukana na kudhalilisha wengine ?
Au tuwape uhuru kama wa libya ?, kwasasa wanasherekea uhuru walioutaka kwa raha zao mpaka basi.
Mkuu tindo uhuru huendana na ustaarabu wa jamii,watanzania ustaarabu hatuna