Ushauri kwa IGP Sirro


Ni maandamano bila kikomo mpaka dikteta uchwara atoke
 
Magufuli anaogopa maandamano,mabomu ya machozi yatarindima kilakona kabla watu hawajajitokeza barabarani.
Hilo sio la kuuliza na ndio stahili yenu. Miguu itakayovunjwa isipungue 2000
 
Bila akishatoa hicho Kibali na akifukuzwa Kazi utakuwa unamkaribisha hapo Kwako kunywa nae Chai, chakula cha mchana na cha usiku pia Yeye pamoja na Familia yake nzima Mkuu.
Anaweza kufukuzwa hata bila ya kutoa hicho kibali inategemeana na mkulu kaamka vipi!
 
Kama kelele zimezidi kuna haja ya kutafakari na kuchukua maamuzi sahihi yenye maslahi kwa wote!
 
Yule aliyejipa(Siro ni figure head tu) kuwa IGP hawezi kukubali.

Ref; I wish I could be IGP, kilichofata ni Mangu kuwa out of office
 
Huyo Tindo na wahuni wenzake ni watu wa hovyo sana katika jamii ya Watanzania mkuu.
Wana nia Ovu na mama Tanzania. Hawa Wahuni kutwa kupiga kelele katika mitandao ya kijamii na kuhamasisha uvunjifu wa Sheria na kanuni za nchi. Wanachochea machafuko wakati wao na familia zao wako Ughaibuni tuliii....sisi na familia zetu tutakuwa wageni wa nani azma ya hawa Wahuni itakapotimia!?

Hakika Libya wanasheherekea uhuru kwa sasa!
 
Ni rahisi jua kuchomozea magharibi kuliko huu ushauri wako kuzingatiwa. Period.
 
Kipara kashanywea hahahaha raia kazeni uzi
Mlipiga kelele sana mitandaoni ya kwamba mtakinukisha siku ya HUKUMU ya Sugu. Sugu amehukumiwa kwenda JELA miezi mitano na HAPAKUCHIMBIKA wala Kubonyea! Bladibastaadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…