Tuassume ni yeye....mshaurinlikurupuka ata jina sijasoma, ila ni yeye mwenyewe hakuna cha rafiki hapo wala nini.
Amkubali Boss maisha yabadilikeHabar zenu wanajamiiforum..hope ni wazima mnaendelea vzr na majukum ya kitaifa..
Ndugu zangu ushauri wenu unahitajika kwa huyu rafiki yangu..Ni graduate ambae ni jobless bado ..lakini alibahatika kuolewa na jamaa mmoja ambae pia ni graduate wa muda kidogo...wameishi kwa miaka 3 ya ndoa lakini huyu jamaa kiuchumi hayuko fresh pia ni mvivu sana wa kazi...hapo nyuma bidada ndo alikuwa anaprovide mahitaji ya home lakini nae kwasasa hali yake si shwari hana kazi...
Katika miaka mitatu walioishi juzijuzi huyu dada akahisi ni mjamzito na kupima ikaonesha kweli ni mjamzito kibaya alivomwambia jamaa kuwa ni mjamzito jamaa akakubali ila ilivopita wiki uyu jamaa akasafiri akafunga na simu hapatikani mwezi mzima mpk sasa... Dada wawatu yakamshinda akaamua arudi kwao tu maana hamna matumiz wala chochote kitu....
Baada ya kurud kwao kuna mtu alikua anamfukuzia huyu dada kabla hata hajaolewa sasa baada ya kupata taarifa kuwa bidada yupo kwao akaamua kumtafuta na kuongea nae..huyo mtu yupo vizuri kiuchumi ni mhadhiri wa chuo pia ana shule yake pamoja na miradi yake mingine...kamfata bidada na kumwambia yeye yupo tayar kukaa nae hata kama ni mjamzito na pia hata familia yake ataisaidia endapo watakua pamoja..
bidada hajajua cha kufanya mpk now je, amkumbali uyo jamaa wakaishi pamoja au aendelee kukaa kwao akimsubir jamaa ambae kampa mimba..pia ana hofu ya kumhisi uyu jamaa kama ana mke na watoto ...lakini pia hali ya familia yake si nzuri kiuchumi kiasi kwamba baadhi ya mahitaji ni ngum kupatikana...Na jamaa anataka kama binti atakubali basi wakaishi pamoja....Je, uyu bidada afanyeje?..tumpe ushauri utaomfaa ...
Asanteni...
N:B usikurupuke kuoa au kuolewa.
Mwenye sikio na asikie..Kila jambo lina uzuri na ubaya wake. Dada yangu aliachana na aliyekuwa mume wake kwa sababu hakuwa na kazi wala kipato cha kueleweka kwa nyakati zile. Baada ya hapo aliolewa na mzee mmoja ana hela zake, mwaka mmoja wa ndoa alirudi nyumbani huku akilia machozi ya kwikwi.
Kwa maelezo yake ni kwamba yule mzee ni katili hajapata kuona, anachokithamini yeye ni pesa zake zaidi kuliko utu, ana watoto KUMI NA SABA aliozaa kupitia wanawake tofauti tofauti na anaweza asilale nyumbani hata wiki mbili yupo lodge na wanawake tofauti tofauti.
Mungu alivyo si Athumani , yule aliyekuwa mume wake wa kwanza amehangaika amejituma na sasa biashara zake zinazidi kusimama imara si haba ameshajenga na ana usafiri wake mambo yanaenda.
Dada yangu anatamani kurudi kule kwa aliyekuwa mumewe wa kwanza lakini anashindwa kwani ameshaoa mwanamke mwingine.
Maisha ni mapambano, yafaa kujituma katika kutafuta maendeleo sio kutafuta mteremko tu.
Yupo dada mmoja kapost humu ana mwanaume mwenye hela hadi kampa usafiri (gari) lakini akifanya naye mapenzi hapati msisimko wowote ni kama anabakwa tu.
Maisha ni mbio ndefu (Marathon) sio mbio fupi (sprint)
Pole sana. Huu uzi ni kama unakuhusu ww mwenyewe ndg yangu. Cha kufanya hapo ni bora kutoa machozi ukiwa ndani ya Prado kuliko kutoa machozi ukiwa juu ya mkokoteni. Maisha yenyewe mafupi haya mpe lecturer tunda ajilie na ww upate amani ya maishaHabar zenu wanajamiiforum..hope ni wazima mnaendelea vzr na majukum ya kitaifa..
Ndugu zangu ushauri wenu unahitajika kwa huyu rafiki yangu..Ni graduate ambae ni jobless bado ..lakini alibahatika kuolewa na jamaa mmoja ambae pia ni graduate wa muda kidogo...wameishi kwa miaka 3 ya ndoa lakini huyu jamaa kiuchumi hayuko fresh pia ni mvivu sana wa kazi...hapo nyuma bidada ndo alikuwa anaprovide mahitaji ya home lakini nae kwasasa hali yake si shwari hana kazi...
Katika miaka mitatu walioishi juzijuzi huyu dada akahisi ni mjamzito na kupima ikaonesha kweli ni mjamzito kibaya alivomwambia jamaa kuwa ni mjamzito jamaa akakubali ila ilivopita wiki uyu jamaa akasafiri akafunga na simu hapatikani mwezi mzima mpk sasa... Dada wawatu yakamshinda akaamua arudi kwao tu maana hamna matumiz wala chochote kitu....
Baada ya kurud kwao kuna mtu alikua anamfukuzia huyu dada kabla hata hajaolewa sasa baada ya kupata taarifa kuwa bidada yupo kwao akaamua kumtafuta na kuongea nae..huyo mtu yupo vizuri kiuchumi ni mhadhiri wa chuo pia ana shule yake pamoja na miradi yake mingine...kamfata bidada na kumwambia yeye yupo tayar kukaa nae hata kama ni mjamzito na pia hata familia yake ataisaidia endapo watakua pamoja..
bidada hajajua cha kufanya mpk now je, amkumbali uyo jamaa wakaishi pamoja au aendelee kukaa kwao akimsubir jamaa ambae kampa mimba..pia ana hofu ya kumhisi uyu jamaa kama ana mke na watoto ...lakini pia hali ya familia yake si nzuri kiuchumi kiasi kwamba baadhi ya mahitaji ni ngum kupatikana...Na jamaa anataka kama binti atakubali basi wakaishi pamoja....Je, uyu bidada afanyeje?..tumpe ushauri utaomfaa ...
Asanteni...
N:B usikurupuke kuoa au kuolewa.
Habar zenu wanajamiiforum..hope ni wazima mnaendelea vzr na majukum ya kitaifa..
Ndugu zangu ushauri wenu unahitajika kwa huyu rafiki yangu..Ni graduate ambae ni jobless bado ..lakini alibahatika kuolewa na jamaa mmoja ambae pia ni graduate wa muda kidogo...wameishi kwa miaka 3 ya ndoa lakini huyu jamaa kiuchumi hayuko fresh pia ni mvivu sana wa kazi...hapo nyuma bidada ndo alikuwa anaprovide mahitaji ya home lakini nae kwasasa hali yake si shwari hana kazi...
Katika miaka mitatu walioishi juzijuzi huyu dada akahisi ni mjamzito na kupima ikaonesha kweli ni mjamzito kibaya alivomwambia jamaa kuwa ni mjamzito jamaa akakubali ila ilivopita wiki uyu jamaa akasafiri akafunga na simu hapatikani mwezi mzima mpk sasa... Dada wawatu yakamshinda akaamua arudi kwao tu maana hamna matumiz wala chochote kitu....
Baada ya kurud kwao kuna mtu alikua anamfukuzia huyu dada kabla hata hajaolewa sasa baada ya kupata taarifa kuwa bidada yupo kwao akaamua kumtafuta na kuongea nae..huyo mtu yupo vizuri kiuchumi ni mhadhiri wa chuo pia ana shule yake pamoja na miradi yake mingine...kamfata bidada na kumwambia yeye yupo tayar kukaa nae hata kama ni mjamzito na pia hata familia yake ataisaidia endapo watakua pamoja..
bidada hajajua cha kufanya mpk now je, amkumbali uyo jamaa wakaishi pamoja au aendelee kukaa kwao akimsubir jamaa ambae kampa mimba..pia ana hofu ya kumhisi uyu jamaa kama ana mke na watoto ...lakini pia hali ya familia yake si nzuri kiuchumi kiasi kwamba baadhi ya mahitaji ni ngum kupatikana...Na jamaa anataka kama binti atakubali basi wakaishi pamoja....Je, uyu bidada afanyeje?..tumpe ushauri utaomfaa ...
Asanteni...
N:B usikurupuke kuoa au kuolewa.
[/QUOT
Kujua wanachotaka hawa dada zetu ni ngumu sanaaaaa..... anyway kuweni na misimamo na punguzenu tamaa.
Kujua hawa dada zetu wanachotaka hasaaa ni ngumu sanaaaaa......daaahh anyway kuweni msimamo na mpunguze tamaaaHabar zenu wanajamiiforum..hope ni wazima mnaendelea vzr na majukum ya kitaifa..
Ndugu zangu ushauri wenu unahitajika kwa huyu rafiki yangu..Ni graduate ambae ni jobless bado ..lakini alibahatika kuolewa na jamaa mmoja ambae pia ni graduate wa muda kidogo...wameishi kwa miaka 3 ya ndoa lakini huyu jamaa kiuchumi hayuko fresh pia ni mvivu sana wa kazi...hapo nyuma bidada ndo alikuwa anaprovide mahitaji ya home lakini nae kwasasa hali yake si shwari hana kazi...
Katika miaka mitatu walioishi juzijuzi huyu dada akahisi ni mjamzito na kupima ikaonesha kweli ni mjamzito kibaya alivomwambia jamaa kuwa ni mjamzito jamaa akakubali ila ilivopita wiki uyu jamaa akasafiri akafunga na simu hapatikani mwezi mzima mpk sasa... Dada wawatu yakamshinda akaamua arudi kwao tu maana hamna matumiz wala chochote kitu....
Baada ya kurud kwao kuna mtu alikua anamfukuzia huyu dada kabla hata hajaolewa sasa baada ya kupata taarifa kuwa bidada yupo kwao akaamua kumtafuta na kuongea nae..huyo mtu yupo vizuri kiuchumi ni mhadhiri wa chuo pia ana shule yake pamoja na miradi yake mingine...kamfata bidada na kumwambia yeye yupo tayar kukaa nae hata kama ni mjamzito na pia hata familia yake ataisaidia endapo watakua pamoja..
bidada hajajua cha kufanya mpk now je, amkumbali uyo jamaa wakaishi pamoja au aendelee kukaa kwao akimsubir jamaa ambae kampa mimba..pia ana hofu ya kumhisi uyu jamaa kama ana mke na watoto ...lakini pia hali ya familia yake si nzuri kiuchumi kiasi kwamba baadhi ya mahitaji ni ngum kupatikana...Na jamaa anataka kama binti atakubali basi wakaishi pamoja....Je, uyu bidada afanyeje?..tumpe ushauri utaomfaa ...
Asanteni...
N:B usikurupuke kuoa au kuolewa.
Pole sana. Huu uzi ni kama unakuhusu ww mwenyewe ndg yangu. Cha kufanya hapo ni bora kutoa machozi ukiwa ndani ya Prado kuliko kutoa machozi ukiwa juu ya mkokoteni. Maisha yenyewe mafupi haya mpe lecturer tunda ajilie na ww upate amani ya maisha




Yaani mkuu wewe ni kama mimi kabisa, utadhani tulikaa tukashauriana. Yaani huu ushauri wetu haufai kabisa kumpa huyu mdada japokua naona kama ungemsaidia sana na ungekua umetatua hili tatizo kwa kiasi kikubwa hata huko baadae asingepata shida kama ambayo atakuja kupata.Ushauri wangu umekaa kishetani shetani kwenye hili swala, anyway siwezi kuusema hapa, nitakuja kukudokezea ofisini.
Cc: Venance Mabeyo
Yaani mkuu wewe ni kama mimi kabisa, utadhani tulikaa tukashauriana. Yaani huu ushauri wetu haufai kabisa kumpa huyu mdada japokua naona kama ungemsaidia sana na ungekua umetatua hili tatizo kwa kiasi kikubwa hata huko baadae asingepata shida kama ambayo atakuja kupata.