Ushauri kwa huyu rafiki yangu

Ushauri kwa huyu rafiki yangu

Wengi tuna ushauri kama huo, ila kuutamka kwa sauti siyo zoezi dogo Mkuu.

Atakuwa ameelewa hata hivyo.

Mkuu jikaze tuu uuseme bana tumsaidie huyu dada yetu, we si una roho ngumu? Sawa utaonekana shetani lakini yatapita tuu usiwe na wasiwasi..😆😆
 
Mkuu jikaze tuu uuseme bana tumsaidie huyu dada yetu, we si una roho ngumu? Sawa utaonekana shetani lakini yatapita tuu usiwe na wasiwasi..😆😆

Hata Mkuu wa majeshi uliona alivyoamua kutotoa dokezo kwenye hadhara, tutaenda ofisini kumpa hilo dokezo kwa pamoja.
 
Mtihani sana... jamaa kakimbia majukumu...

Binti atahangaika zake... kesho na keshokutwa mtoto naauwezo... kajamaa katajirudisha...
 
Habar zenu wanajamiiforum..hope ni wazima mnaendelea vzr na majukum ya kitaifa..

Ndugu zangu ushauri wenu unahitajika kwa huyu rafiki yangu..Ni graduate ambae ni jobless bado ..lakini alibahatika kuolewa na jamaa mmoja ambae pia ni graduate wa muda kidogo...wameishi kwa miaka 3 ya ndoa lakini huyu jamaa kiuchumi hayuko fresh pia ni mvivu sana wa kazi...hapo nyuma bidada ndo alikuwa anaprovide mahitaji ya home lakini nae kwasasa hali yake si shwari hana kazi...

Katika miaka mitatu walioishi juzijuzi huyu dada akahisi ni mjamzito na kupima ikaonesha kweli ni mjamzito kibaya alivomwambia jamaa kuwa ni mjamzito jamaa akakubali ila ilivopita wiki uyu jamaa akasafiri akafunga na simu hapatikani mwezi mzima mpk sasa... Dada wawatu yakamshinda akaamua arudi kwao tu maana hamna matumiz wala chochote kitu

Baada ya kurud kwao kuna mtu alikua anamfukuzia huyu dada kabla hata hajaolewa sasa baada ya kupata taarifa kuwa bidada yupo kwao akaamua kumtafuta na kuongea nae..huyo mtu yupo vizuri kiuchumi ni mhadhiri wa chuo pia ana shule yake pamoja na miradi yake mingine...kamfata bidada na kumwambia yeye yupo tayar kukaa nae hata kama ni mjamzito na pia hata familia yake ataisaidia endapo watakua pamoja

bidada hajajua cha kufanya mpk now je, amkumbali uyo jamaa wakaishi pamoja au aendelee kukaa kwao akimsubir jamaa ambae kampa mimba..pia ana hofu ya kumhisi uyu jamaa kama ana mke na watoto ...lakini pia hali ya familia yake si nzuri kiuchumi kiasi kwamba baadhi ya mahitaji ni ngum kupatikana...Na jamaa anataka kama binti atakubali basi wakaishi pamoja....Je, uyu bidada afanyeje?..tumpe ushauri utaomfaa ...

Asanteni...

N:B usikurupuke kuoa au kuolewa.
Siku zote naamini kua pesa zinatafitwa ila furaha kuipata ndo ngumu katika maisha naamini huyo bidada na huyo mmewe hadi kufikia kufunga ndoa inaonesha wazi walikuwa na mzingi wa maisha.

Note: ushauri wangu ajifungue tuu na arudi kwa mumewe ili walee mtoto na watafute pesa ila akisema aende kwa huyo tajiri ataumia sana na kuteseka mno coz hujui huyo tajiri mali zake kachuma nanani kila kwenye mafanikio ya mwanaume mke yuko nyuma yake.

Naamini mwanaume alie mpa mimba ameenda kupamban na kuandaa mazingira ya kumlea mtoto shida na raha ni sehem ya maisha siku zote usikimbie changamoto angalia njia ya kutatua changamoto hizo asante
 
Back
Top Bottom