Ushauri kwa huyu ex-wangu

Ushauri kwa huyu ex-wangu

KUNA kila chembe za ukweli
Yaani kuna post unasoma unahisi kama vile sinema za bongo nini sijui!! Kwa mwanaume mkamilifu, msomi tena kapitia hadi mafunzo ya jeshi. Zero aiseee, ni uboya wa kupindukia. Half kesho atakuja kuomba ushauri mkwe anatiwatiwa nje ya ndoa yake huyuhuyu
 
Ni ngumu sana kusema No wakati bado unampenda hata kama alikufanyia mabaya yapi so fanya vile moyo wako unapenda
 
Kijana inavyoelekea bado unampenda huyo binti ndo mana unaendelea kumuhudumia kwa kumtumia pesa as if hana mume kumbe ni mke wa mtu.

Yaani yupo kwenye ndoa lakini pesa za matibabu na matumizi mengine unatoa wewe!!!!!!

Ama kweli kijana umekufa na kuoza kwa huyo mrembo,

Muoe tu hakuna namna!!
 
Nimependa sana ulipokuwa gentleman kumsaidia.
Maana anaona kama ukarimu wako ni kama bado unataka kurudiana nae.
Mkuu hapo move on ila usike chuki kwa ex yeyote yule.
 
Kijana inavyoelekea bado unampenda huyo binti ndo mana unaendelea kumuhudumia kwa kumtumia pesa as if hana mume kumbe ni mke wa mtu.

Yaani yupo kwenye ndoa lakini pesa za matibabu na matumizi mengine unatoa wewe!!!!!!

Ama kweli kijana umekufa na kuoza kwa huyo mrembo,

Muoe tu hakuna namna!!
Ngangafuuu hii
 
Hajitambui huyo. Usipoangalia inakula kwako.
 
Back
Top Bottom