Ushauri kwa huyu ex-wangu

Ushauri kwa huyu ex-wangu

Sasa kama haijavunjwa kisheria bado ni mke Wa mtu ! Unataka uoe mke Wa MTU acha ujinga tafuta wako angekupenda angekusubiria over acha kuchezea wakati
Nashukuru Mkuu las ushauri wako katichi
 
Akufai huyo kaka yy yupo kwa maslai tuu ndyo 7bu aliamua kuishi na huyo jmaa so ameona mambo sio mambo anakukumbuka ww angalia huruma ikizidi sana ni ttzo achana nae.
 
FANYA MAAMUZI SAHIHI KWA WAKATI SAHIHI....HUYO DEMU HAKUFAI,,, MWAMBIE ARUDI KWA JAMAA YAKE HUKOHUKO ALIYATAKA MWENYEWE
 
Sidhani kama kuna haja ya kushauriwa kwenye hilo jambo maana kila kitu kipo wazi. Huyo ni mke wa mtu tena kama kuna uwezekano wa kukata mawasiliano nae fanya hivo. Mke wa mtu hatar sana.
 
Sidhani kama kuna haja ya kushauriwa kwenye hilo jambo maana kila kitu kipo wazi. Huyo ni mke wa mtu tena kama kuna uwezekano wa kukata mawasiliano nae fanya hivo. Mke wa mtu hatar sana.
Nimekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom