Ushauri kwa huyu ex-wangu

Ushauri kwa huyu ex-wangu

Katika jambo ambalo mtoa mada umeonesha ukomavu ni kumsaidia alipopatwa na shida ya kifedha aidha kwa sababu ya mapenzi ya dhati uliyokuwa nayo kwake ama nyinginezo,

ila suala la kurudiana nae linahitaji uamuzi wa dhati kutoka moyoni si ati anakuganda, jiulize je bado unampenda kama mwanzo? Je uko tayari kuishi naye? kumbuka kisheria bado ni mke wa mtu, kutomjali kama unavyo eleza hakuondoi uhalali wa kuwa mume wake, na inaonekana angekuwa anamjali asingekuwa anakuganda. (Akili za kuambiwa changanya na zako - in JK voice)
 

Attachments

  • tapatalk_1489489700153.jpeg
    tapatalk_1489489700153.jpeg
    31.7 KB · Views: 40
Katika jambo ambalo mtoa mada umeonesha ukomavu ni kumsaidia alipopatwa na shida ya kifedha aidha kwa sababu ya mapenzi ya dhati uliyokuwa nayo kwake ama nyinginezo,

ila suala la kurudiana nae linahitaji uamuzi wa dhati kutoka moyoni si ati anakuganda, jiulize je bado unampenda kama mwanzo? Je uko tayari kuishi naye? kumbuka kisheria bado ni mke wa mtu, kutomjali kama unavyo eleza hakuondoi uhalali wa kuwa mume wake, na inaonekana angekuwa anamjali asingekuwa anakuganda. (Akili za kuambiwa changanya na zako - in JK voice)
Wazo lako zuri sana Mkuu ntalifanyia kazi
 
Ustaarabu na uvumilivu wa maisha tunayo sisi wanaume ndio maana tunaweza kuishi na mwanake asie na kazi ata maisha yote, sasa geuza hii story upande wa pili uone balaa lake
Weeeeeeee cjui wapoje hawa kwenye neema tu ndio utawaona kikichacha tu wanachapa mguu kikichacha tena walikoenda hlf hku walikotoka ikawa neema wanarudi huwa nakereka sana mwanaume akikubali kumrudia mwanamke aina hii mambo yangekua poa unadhani angemtafuta jamaa? wanaume hatuna kwere unamchukua mwanamke hana elimu yoyote hana kazi yoyote unampenda unamhudumia kwa moyo mmoja bila masimango na huenda ikawa kaja na watoto 2 alizaaga hko wanaume huwa tunalea watoto fresh kabisa ss hii story igeuze upande wa pili km ulivyosema mtoa mada ndio utaona balaa lake mi siwapendi wanawake!
 
Wee utakua bado unampenda kumoyo ila akili yako inajaribu kuukataa ukweli, sio jambo la kuomba ushauri hili ikiwa humpendi!

Ila huo mwandiko mkuu!!
 
Hamna kitu hapo achana naye. Hivi jamani warembo wote uko chuo bado unataka kujitesa na huyo aliye amuaga kusongesha maisha yake dah.
 
mapenzi ya utotoni...o level,form six...mnatupa shida sana madarasani nyinyi....mtoto wa form three ana ndoto za kuoa...wa form six tayar ana ex wake
 
Ustaarabu na uvumilivu wa maisha tunayo sisi wanaume ndio maana tunaweza kuishi na mwanake asie na kazi ata maisha yote, sasa geuza hii story upande wa pili uone balaa lake
Huu ni ukweli kabisa
 
Yaani ulikuwa na girlfriend akakusaliti kaenda katiwaa weeee hadi kajazwa mimba, bado anarudi kwako unapoteza muda wako kumsikiliza kwa kigezo cha kwamba eti ulikuwa unampenda saana! Kuwa mwanaume mkuu, achana na mambo ya kijinga, tafuta hela ujijenge kimaisha, mwanaume gani huna misimamo? Unachukua pesa zako kuhudumia mimba ya mwanaume mwenzio!!? Ningeweza kumsaidia kama simjui na hatujawahi kuwa na mahusiano labda. Vijana mna kazi ya ziada. Cheka na nyani uvune mabua
 
Huwezi msaidia Mke wa mtu kwa siri, na ukijua mlikua wapenzi. Huyo demu unampenda, acha kuzingua... Wewe ndio chanzo.. Ulipompa pesa alianza kumdharau mumewe na kukuona wewe ndiye unayemthamini.... Chanzo ni wewe! Oa
Heeeee.. nao ni ushauri
 
Yaani ulikuwa na girlfriend akakusaliti kaenda katiwaa weeee hadi kajazwa mimba, bado anarudi kwako unapoteza muda wako kumsikiliza kwa kigezo cha kwamba eti ulikuwa unampenda saana! Kuwa mwanaume mkuu, achana na mambo ya kijinga, tafuta hela ujijenge kimaisha, mwanaume gani huna misimamo? Unachukua pesa zako kuhudumia mimba ya mwanaume mwenzio!!? Ningeweza kumsaidia kama simjui na hatujawahi kuwa na mahusiano labda. Vijana mna kazi ya ziada. Cheka na nyani uvune mabua
KUNA kila chembe za ukweli
 
Back
Top Bottom