naona njaa haijawashika vizuri ikiwashika uwezi kuuliza cha kufanya ... unafikiri wahenga walikosea "adui yako mwombee njaa"
Teh teh teheee! ngoja ni cheke kwanza, hivi hizo kazi zinaendaje kama hamjala?
asubuhi wamekunywa supu na chapati mbili kila mmoja huko anakotokea alafu mchana wanajifanya wanashinda njaa... eti wamefiana?
chapati mbili amalize wapi ?
hawa ndio wale wa kula vipande vya mikate watu hata kula hawawezi uvivu hadi kula
Kwanza kabisa nimependa mtazamo wako wa kuona si jambo zuri kula jasho la mwanaume mwenzio.
Labda ungemuuliza kwanini anataka aende na wewe? Na si mtu mwingine?
Soma Alama Za Nyakati Huyo Dada Anakupenda Kuliko Mpenzi Aliye Naye Cha Msingi We Mtongoze Hiyo Ndo Dawa Na Suluhisho Lako
Nikamwambia sawa lakini mimi sitakula tena na atafute msichana mwenzake wawe wanakula pamoja sababu ni aibu mwanamme kula jasho la mwenzie.
asubuhi wamekunywa supu na chapati mbili kila mmoja huko anakotokea alafu mchana wanajifanya wanashinda njaa... eti wamefiana?
hilo zoezi nimelianza jana baada ya kugundua mtego wake.
Kwa faida yako tu, pitia moja kati ya nyuzi nyingi zilizoletwa JF na wadada.
https://www.jamiiforums.com/mahusia...wangu-kwenu-marioo-wote.html?highlight=marioo
Jichanganye uletwe JF.katika maisha mimi naamini kwamba mwanaume ndiye mwenye majukumu kwa hiyo umarioo haunikuti.
Halafu wewe miss chagga unapenda eeeh wenzio waliwe lol..
kama wa kuliwa acha tu uliwe
Ha ha ha ha.. Ndo umuambie huyu jamaa lol..