rafiki huli jasho la mwenzio unaenda kula chakula, usijifanye upendi mteremko, nenda kale na akikwambili ule tena mle pia....vinginevyo utadharauliwa...
kula kwa bill ya mwanaume mwenzangu hilo haliwezekani.anakupenda huyo sema anashindwa kukuambia.......
pili ili usiendelee kukaa na njaa.....muwe mnaenda wote ila nawe jaribu kumnunulia hata maji basi........au ndiyo kila kitu kimelipiwa......
Kweli ukistaajabu ya Musa haujayaona ya PAKAYAwek . Yaani jamaa anajitahidi kufunga kwa ajili binti kasusa kula ilihali ikifika kipindi cha mfungo wenyewe kwa ajili ya kutubu dhambi zetu kufunga hawezi
Haswaa!!! Tena hawakawii kusingizia wana vidonda vya tumbo
naona njaa haijawashika vizuri ikiwashika uwezi kuuliza cha kufanya ... unafikiri wahenga walikosea "adui yako mwombee njaa"
Haswaaah!!! Wameshiba viporo hao, njaa haina adabu!
tatizoakimtongoza tu atakua anaweka yeye bill af ataenda lunch na mwengnesoma alama za nyakati huyo dada anakupenda kuliko mpenzi aliye naye cha msingi we mtongoze hiyo ndo dawa na suluhisho lako
status yako inaonesha kweli unampenda huyo girl, sasa kale cha mwanaume mwenzio na wewe usubir kuliwa