Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Kwahiyo unatushauri tuwe kama Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo ili ajiskie always Right.
Huyo Mungu uliemuomba ambariki huyo mvunja katiba ungeanza kwa herufi ndogo jina lake isomeke 'mungu' na sio "Mungu"

Tena tuliosema atakua one term president tulikosea hata term moja hatamaliza kama tutashikilia msimamo wetu Septemba mosi na tunaweza kuigeuza ajenda ikawa ya kumng'oa ikulu.
He should be careful of what he wish for!
Oh hi Been saa 8 MUNGU WETU WA
MBINGUNI HAKUPENDA UPOTEZWE ILA NGUVU YA MAMULAKA ILIKUONDOA DUNIANI JAPO NA WAO HAWAKUDUM WALIKUFA KIFO CHA KAWAIDA.
 
Kwahiyo unatushauri tuwe kama Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo ili ajiskie always Right.
Huyo Mungu uliemuomba ambariki huyo mvunja katiba ungeanza kwa herufi ndogo jina lake isomeke 'mungu' na sio "Mungu"

Tena tuliosema atakua one term president tulikosea hata term moja hatamaliza kama tutashikilia msimamo wetu Septemba mosi na tunaweza kuigeuza ajenda ikawa ya kumng'oa ikulu.
He should be careful of what he wish for!
RIP Ben!.
P
 
Hivyo nawashauri kwa dhati kabisa Chadema, kama Chadema mnajipenda, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hayo maandamano, na badala ya kuwasumbua wanachama na wafuasi wenu kuandamana for nothing, kwa sababu kwenye mazingira haya kama ya kutumia maandamano kupinga kuvunjwa kwa katiba, ni nothing!, mtaachieve nothing, na sana sana mtaishia kuumizwa na kuwaumiza wanachama, wapenzi na wafuasi wenu kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia kuwa ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.
Pasco
Najikumbusha tuu, japo bandiko hili ni la zamani miaka 9 iliyopita, ushauri wake ni valid kwa kinachoendelea sasa, Chadema mtaumia, mtaumizwa, mtaumiza viongozi wenu, mtaumiza wanachama wenu, mtaumiza wafuasi wenu na mtaumiza wananchi wa kawaida wanao wakubali.

Mimi japo ni mwandishi tuu wa habari na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, Tundu Lissu amekamatwa na kushitakiwa kwa uhaini!, hakuna uhaini wowote hapo Lissu aliotenda, uhaini ni vitendo na sio maneno, shitaka halali ni sedition, yaani kutoa maneno ya uchochezi, kwa vile kosa la uchochezi lina dhamana, mwenye nguvu akaamua kumbambikiae Kesi ya uhaini, haina dhamana, ili aoozee jela mpaka baada ya uchaguzi mkuu!.

Haya mambo ya uhaini niliisha yazungumza humu
Wanabodi,

Kama kawa, kila nipatapo fursa


Kufuatia tishio la matamshi yenye viashiria vya uhaini dhidi ya serikali ya JMT kwa baadhi ya watu, na watu hao kushikiliwa na vyombo vya dola, waneibuka watu, mashirika, wanaharakati kupigia kelele kuna kesi ya uhaini, na hadi baadhi ya taasisi za kimataifa kutaka kuingilia kati mambo yetu ya ndani!, hivyo kufuatia mwandishi wa makala hizi kuwa pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, naomba kuitumia makala ya leo, kuanza mfululizo wa makala elimishi kuelimisha umma kuhusu katiba, sheria, haki na wajibu kwa jicho la mtunga katiba.

Naomba nianze na elimu fupi kuhusu makosa mawili makubwa kuliko makosa yote kwenye katiba yetu. Makosa haya ni kosa la kuua, (murder), na kosa la uhaini, (treason), ambayo yote adhabu yake ni kifo, au "capital punishment", na kwa Tanzania adhabu hii inatekelezwa kwa kunyongwa hadi kufa, kwa nchi yetu tuna gereza moja tuu la kunyongea ni gereza la Isanga, liko Dodoma.

Uhaini ni nini? Uhaini umetajwa kwenye sura ya Saba kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, yaani penal code kinasema Kifungu cha 39 ( 1 ) cha kanuni za adhabu kinasema kuwa mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano au popote, kujaribu kumuua Rais, kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Muungano, kusababisha, kuwezesha, kuchochea, kushawishi, kushauri kuhusu kifo, kumlemaza, kumzuia, kufungwa kwa Rais.

Kwa mujibu wa sheria tuliofundishwa darasani, uhaini ni vitendo na sio kauli ni uchochezi!. Kwa vile mpaka sasa hakuna mashitaka yoyote ya uhaini yaliyofunguliwa katika Mahakama yoyote, nawaombeni Watanzania wenzangu tusishabikie uzushi wa uhaini, hili sio jambo la kheri hata kidogo.

Vivyo hivyo kwenye jinai ya uhaini, sio kila matamshi ya uhaini ni uhaini, ili kuwepo kwa jinai ya uhaini, lazima kuwepo kwa zile sifa kuu mbili, actus reus na mens rea ya kupanga kufanya uhaini. Kitendo cha mtu ameghafilika tuu na hoja za Club House, akaanza kuhororoja kutoa matamshi ya kupindua serikali, haimaanishi ni uhaini wa kupindua kweli serikali, lakini matamshi hayo yanaweza kuwa ni matamshi ya uchochezi hivyo kusababisha watu wapange kweli kupindua serikali, lakini matamshi tuu kama matamshi bila ya kuwepo means rea ya kupindua serikali, watu hao watakuwa wamefanya kosa la sedition na sio treason.

Wasalaam
Paskali
NB. Jamhuri inaweza kubadili, kuongeza au kurekebisha shtaka hilo kwa mujibu wa Sheria.
Asante kwa kutuletea hii, hakuna uhaini wowote hapo kwa mujibu wa sheria tulifundishwa sisi!. Uhaini My God!. Kuna Uwezekano Anadanganywa na Kadanganyika? I Don't Believe This!. Sitatizwi na Uongo Wao, Natatizwa na The Motives Behind Such Lies! Pia soma Ijue Katiba ya JMT kwa Jicho la Mtunga Katiba: Watanzania Tusishabikie Uhaini. Hukuna Uhaini wa Kauli na Maneno, Uhaini ni Mipango na Matendo

Kwa vile Lissu ni mpango wa Mungu, huku kukamatwa kunaweza kuwa ni mapito tuu kama ya Yusufu, Paulo na Sila, Shadrack,Meshaki na Abdinego, na hata Daniel, Mungu atafanya jambo!. The Voices From Within: Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu, NRNE ni Mpango wa Shetani, ni li Pepo! Limemkumba Lissu!, Akiachana Nalo, Anatinga Ikulu 2025!

Kwa vile ile No Reform ni vita vya haki, ni mpango wa Mungu kupigania uchaguzi mkuu huru na wa haki, then Mungu atasimamia reforms, zitafanyika kabla ya Uchaguzi Mkuu wa October.

Ila ile No Election, ni mpango wa shetani kuisambaratisha Chadema!. Pre GE2025 - Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?

Itisheni kikao cha kamati Kukikae kwa dharura, shelve down no election, kubalini hoja za G-55, chadema muingie kwenye uchaguzi, Ushauri wa Bure Chadema: Moja Shika Sii Kumi Nenda Rudi!Hoja ya Reforms Japo ni Hoja ya Msingi Sana KufanyaMaandalizi ya Uchaguzi ni Busara Muhimu!

DPP ataifuta kesi ya Lissu kwa Nolle, amini nawaambieni Tundu Lissu anatinga Ikulu hiyo October!. Pre GE2025 - Hata Kusipofanyika Reforms, 2025 CHADEMA Ina Fursa!, Ila They Are Just Too Blind to See!, Hawajitambui! No Election ni Utopia!. Wake Up!
Paskali
 
Najikumbusha tuu, japo bandiko hili ni la zamani miaka 9 iliyopita, ushauri wake ni valid kwa kinachoendelea sasa, Chadema mtaumia, mtaumizwa, mtaumiza viongozi wenu, mtaumiza wanachama wenu, mtaumiza wafuasi wenu na mtaumiza wananchi wa kawaida wanao wakubali.

Mimi japo ni mwandishi tuu wa habari na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, Tundu Lissu amekamatwa na kushitakiwa kwa uhaini!, hakuna uhaini wowote hapo Lissu aliotenda, uhaini ni vitendo na sio maneno, shitaka halali ni sedition, yaani kutoa maneno ya uchochezi, kwa vile kosa la uchochezi lina dhamana, mwenye nguvu akaamua kumbambikiae Kesi ya uhaini, haina dhamana, ili aoozee jela mpaka baada ya uchaguzi mkuu!.

Haya mambo ya uhaini niliisha yazungumza humu


Asante kwa kutuletea hii, hakuna uhaini wowote hapo kwa mujibu wa sheria tulifundishwa sisi!. Uhaini My God!. Kuna Uwezekano Anadanganywa na Kadanganyika? I Don't Believe This!. Sitatizwi na Uongo Wao, Natatizwa na The Motives Behind Such Lies! Pia soma Ijue Katiba ya JMT kwa Jicho la Mtunga Katiba: Watanzania Tusishabikie Uhaini. Hukuna Uhaini wa Kauli na Maneno, Uhaini ni Mipango na Matendo

Kwa vile Lissu ni mpango wa Mungu, huku kukamatwa kunaweza kuwa ni mapito tuu kama ya Yusufu, Paulo na Sila, Shadrack,Meshaki na Abdinego, na hata Daniel, Mungu atafanya jambo!. The Voices From Within: Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu, NRNE ni Mpango wa Shetani, ni li Pepo! Limemkumba Lissu!, Akiachana Nalo, Anatinga Ikulu 2025!

Kwa vile ile No Reform ni vita vya haki, ni mpango wa Mungu kupigania uchaguzi mkuu huru na wa haki, then Mungu atasimamia reforms, zitafanyika kabla ya Uchaguzi Mkuu wa October.

Ila ile No Election, ni mpango wa shetani kuisambaratisha Chadema!. Pre GE2025 - Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?

Itisheni kikao cha kamati Kukikae kwa dharura, shelve down no election, kubalini hoja za G-55, chadema muingie kwenye uchaguzi, Ushauri wa Bure Chadema: Moja Shika Sii Kumi Nenda Rudi!Hoja ya Reforms Japo ni Hoja ya Msingi Sana KufanyaMaandalizi ya Uchaguzi ni Busara Muhimu!

DPP ataifuta kesi ya Lissu kwa Nolle, amini nawaambieni Tundu Lissu anatinga Ikulu hiyo October!. Pre GE2025 - Hata Kusipofanyika Reforms, 2025 CHADEMA Ina Fursa!, Ila They Are Just Too Blind to See!, Hawajitambui! No Election ni Utopia!. Wake Up!
Paskali
Nchi si msikiti tunako inamisha vichwa na haina mwenyewe ina wenyewe ambao ni wananchi wote kwa umoja wao. Getup Standup fight for your rights.
 
Najikumbusha tuu, japo bandiko hili ni la zamani miaka 9 iliyopita, ushauri wake ni valid kwa kinachoendelea sasa, Chadema mtaumia, mtaumizwa, mtaumiza viongozi wenu, mtaumiza wanachama wenu, mtaumiza wafuasi wenu na mtaumiza wananchi wa kawaida wanao wakubali.

Mimi japo ni mwandishi tuu wa habari na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, Tundu Lissu amekamatwa na kushitakiwa kwa uhaini!, hakuna uhaini wowote hapo Lissu aliotenda, uhaini ni vitendo na sio maneno, shitaka halali ni sedition, yaani kutoa maneno ya uchochezi, kwa vile kosa la uchochezi lina dhamana, mwenye nguvu akaamua kumbambikiae Kesi ya uhaini, haina dhamana, ili aoozee jela mpaka baada ya uchaguzi mkuu!.

Haya mambo ya uhaini niliisha yazungumza humu


Asante kwa kutuletea hii, hakuna uhaini wowote hapo kwa mujibu wa sheria tulifundishwa sisi!. Uhaini My God!. Kuna Uwezekano Anadanganywa na Kadanganyika? I Don't Believe This!. Sitatizwi na Uongo Wao, Natatizwa na The Motives Behind Such Lies! Pia soma Ijue Katiba ya JMT kwa Jicho la Mtunga Katiba: Watanzania Tusishabikie Uhaini. Hukuna Uhaini wa Kauli na Maneno, Uhaini ni Mipango na Matendo

Kwa vile Lissu ni mpango wa Mungu, huku kukamatwa kunaweza kuwa ni mapito tuu kama ya Yusufu, Paulo na Sila, Shadrack,Meshaki na Abdinego, na hata Daniel, Mungu atafanya jambo!. The Voices From Within: Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu, NRNE ni Mpango wa Shetani, ni li Pepo! Limemkumba Lissu!, Akiachana Nalo, Anatinga Ikulu 2025!

Kwa vile ile No Reform ni vita vya haki, ni mpango wa Mungu kupigania uchaguzi mkuu huru na wa haki, then Mungu atasimamia reforms, zitafanyika kabla ya Uchaguzi Mkuu wa October.

Ila ile No Election, ni mpango wa shetani kuisambaratisha Chadema!. Pre GE2025 - Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?

Itisheni kikao cha kamati Kukikae kwa dharura, shelve down no election, kubalini hoja za G-55, chadema muingie kwenye uchaguzi, Ushauri wa Bure Chadema: Moja Shika Sii Kumi Nenda Rudi!Hoja ya Reforms Japo ni Hoja ya Msingi Sana KufanyaMaandalizi ya Uchaguzi ni Busara Muhimu!

DPP ataifuta kesi ya Lissu kwa Nolle, amini nawaambieni Tundu Lissu anatinga Ikulu hiyo October!. Pre GE2025 - Hata Kusipofanyika Reforms, 2025 CHADEMA Ina Fursa!, Ila They Are Just Too Blind to See!, Hawajitambui! No Election ni Utopia!. Wake Up!
Paskali
Yaani badala ya watu kusimamia reform zifanyike wewe unasema mungu atasimamia reform?

Huyo mungu yuko wapi kwanza, yaani matatizo yanajionyesha wazi na watu wanatoa solution wewe unasema tusubiri mungu afanye reform?
 
Yaani badala ya watu kusimamia reform zifanyike wewe unasema mungu atasimamia reform?

Huyo mungu yuko wapi kwanza, yaani matatizo yanajionyesha wazi na watu wanatoa solution wewe unasema tusubiri mungu afanye reform?
Mungu ndio kila kitu,ndie huweka serikali za mataifa,hakuna kitu kinaweza fanyika kikafanikiwa bila kibali cha Mungu!

Sauti imeniambia Lissu ni chaguo la Mungu kwa Tanzania 2025, anatakiwa kugombea urals,Mungu atampigania atashinda ndio atafanya reforms,NRNE ni lipepo mchafu limemkumba ili kumzuia asigombee na kuvikwa taji!, The Voices From Within: Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu, NRNE ni Mpango wa Shetani, ni li Pepo! Limemkumba Lissu!, Akiachana Nalo, Anatinga Ikulu 2025!
P
 
Mungu ndio kila kitu,ndie huweka serikali za mataifa,hakuna kitu kinaweza fanyika kikafanikiwa bila kibali cha Mungu!
Sio kweli, kwahiyo hata ule wizi wa kura aliofanya Magufuli 2020 ulipangwa na mungu?

Hivyo kama huyo mungu anaunga mkono wizi na mauaji hamuoni basi hata hizo dini mnazozifuata zinawapotosha maana zinaunga mkono wizi na mauaji?
Sauti imeniambia Lissu ni chaguo la Mungu kwa Tanzania 2025, anatakiwa kugombea urals,Mungu atampigania atashinda ndio atafanya reforms,NRNE ni lipepo mchafu limemkumba ili kumzuia asigombee na kuvikwa taji!, The Voices From Within: Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu, NRNE ni Mpango wa Shetani, ni li Pepo! Limemkumba Lissu!, Akiachana Nalo, Anatinga Ikulu 2025!
P
Wewe na hizo sauti zako ifike mahali uwasimulie wajukuu zako maana hukukemea wizi wa kura 2020 hivyo reform zinatakiwa zifanywe na watu na sio mungu.
 
Sio kweli, kwahiyo hata ule wizi wa kura aliofanya Magufuli 2020 ulipangwa na mungu?

Hivyo kama huyo mungu anaunga mkono wizi na mauaji hamuoni basi hata hizo dini mnazozifuata zinawapotosha maana zinaunga mkono wizi na mauaji?

Wewe na hizo sauti zako ifike mahali uwasimulie wajukuu zako maana hukukemea wizi wa kura 2020 hivyo reform zinatakiwa zifanywe na watu na sio mungu.
Wengi hawajui kuwa kuna vitendo vingi tuu vya kishetani Mungu anaviona na kuviacha vitokee kwa watu wake na taifa lake.

Hata kule bustanini,Mungu aliiona mipango yote ya shetani kwa Eva lakini hakuingilia kati kuzuia,

Ukombozi wa Wana Israel kutoka utumwani Misri,ni Mungu aliufanya moyo wa Pharao kuwa mgumu ili amuonyeshe kwa kumnyorosha,

Ile siku ya kuondoka kila nyumba waliazima vito vya dhahabu,fedha,shaba na bronze kwa jirani zao wa Misri, wakasepa navyo!。

Mungu aliruhusu roho wa shetani kumwingia King David,akamtamani mke wa Uriah,akamua Uriah na kumtwaa mkewe Bersheeba,akamfanya mkewe,Mungu akambariki akamzalia Sulemani!。
P
 
Wewe na hizo sauti zako ifike mahali uwasimulie wajukuu zako maana hukukemea wizi wa kura 2020 hivyo reform zinatakiwa zifanywe na watu na sio mungu.
Karibu uone jinsi ninavvyo pongeza ushindi wa kishindo wa CCM Zanzibar ile 2015 Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

Pongezi zangu uchaguzi wa 2019 Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi

Bandiko hili uliona Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa!

P
 
Karibu uone jinsi ninavvyo pongeza ushindi wa kishindo wa CCM Zanzibar ile 2015
P
CCM ilishinda uchaguzi Zanzibar 2015??

Kichekesho kabisa , halafu yule mwenyekiti wa tume ZEC aliyeinusuru CCM baada ya kupata kipigo cha aibu kwenye box la kura kwa kufuta matokeo ndio akaja kuchukua fomu ya urais 2020.

Saa hizi amejifia ameshasahaulika na hawana habari nae kama toilet paper tu baada ya matumizi ndio kwisha habari yake.

Sasa kama mwenyekiti wa tume ana kadi ya kijani kibindoni unatarajia kutakuwa na neutral political ground.?
images - 2025-04-11T213243.806.jpeg
 
Najikumbusha tuu, japo bandiko hili ni la zamani miaka 9 iliyopita, ushauri wake ni valid kwa kinachoendelea sasa, Chadema mtaumia, mtaumizwa, mtaumiza viongozi wenu, mtaumiza wanachama wenu, mtaumiza wafuasi wenu na mtaumiza wananchi wa kawaida wanao wakubali.

Mimi japo ni mwandishi tuu wa habari na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, Tundu Lissu amekamatwa na kushitakiwa kwa uhaini!, hakuna uhaini wowote hapo Lissu aliotenda, uhaini ni vitendo na sio maneno, shitaka halali ni sedition, yaani kutoa maneno ya uchochezi, kwa vile kosa la uchochezi lina dhamana, mwenye nguvu akaamua kumbambikiae Kesi ya uhaini, haina dhamana, ili aoozee jela mpaka baada ya uchaguzi mkuu!.

Haya mambo ya uhaini niliisha yazungumza humu


Asante kwa kutuletea hii, hakuna uhaini wowote hapo kwa mujibu wa sheria tulifundishwa sisi!. Uhaini My God!. Kuna Uwezekano Anadanganywa na Kadanganyika? I Don't Believe This!. Sitatizwi na Uongo Wao, Natatizwa na The Motives Behind Such Lies! Pia soma Ijue Katiba ya JMT kwa Jicho la Mtunga Katiba: Watanzania Tusishabikie Uhaini. Hukuna Uhaini wa Kauli na Maneno, Uhaini ni Mipango na Matendo

Kwa vile Lissu ni mpango wa Mungu, huku kukamatwa kunaweza kuwa ni mapito tuu kama ya Yusufu, Paulo na Sila, Shadrack,Meshaki na Abdinego, na hata Daniel, Mungu atafanya jambo!. The Voices From Within: Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu, NRNE ni Mpango wa Shetani, ni li Pepo! Limemkumba Lissu!, Akiachana Nalo, Anatinga Ikulu 2025!

Kwa vile ile No Reform ni vita vya haki, ni mpango wa Mungu kupigania uchaguzi mkuu huru na wa haki, then Mungu atasimamia reforms, zitafanyika kabla ya Uchaguzi Mkuu wa October.

Ila ile No Election, ni mpango wa shetani kuisambaratisha Chadema!. Pre GE2025 - Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?

Itisheni kikao cha kamati Kukikae kwa dharura, shelve down no election, kubalini hoja za G-55, chadema muingie kwenye uchaguzi, Ushauri wa Bure Chadema: Moja Shika Sii Kumi Nenda Rudi!Hoja ya Reforms Japo ni Hoja ya Msingi Sana KufanyaMaandalizi ya Uchaguzi ni Busara Muhimu!

DPP ataifuta kesi ya Lissu kwa Nolle, amini nawaambieni Tundu Lissu anatinga Ikulu hiyo October!. Pre GE2025 - Hata Kusipofanyika Reforms, 2025 CHADEMA Ina Fursa!, Ila They Are Just Too Blind to See!, Hawajitambui! No Election ni Utopia!. Wake Up!
Paskali
Unashindaje Uchaguzi wakati nusu ya wagombea wako wa ubunge hawatateuliwa kugombea? Watakaopenya hawatapata nafasi ya kufanya kampeni kwa kufunguliwa makesi ya ajabu, kutekwa na kuvurugiwa mikutano. Siku ya Uchaguzi mawakala wako hawataapishwa na wakiapishwa hawataruhusiwa kuingia kwenye vituo kwa kutekwa na kupigwa hovyo?

Nchi imeshapoteza utu kabisa hii
 
CHADEMA haijaitisha maandamano yoyote.

Endelea kufaidi pesa za damu ukipalilia ulaji na kikampuni chako kile cha PPR.

Wewe utakumbukwa kwa matendo yako nayo ni kuwa wakili[msimamizi wa haki] mwandishi wa habari[mtoa taarifa ] ila umechagua kula meza moja na wamwaga damu ila unakuja na unafiki wa kujidai unaona maandamano ni hatari kuliko watu kupotea kwenye nchi yao .

Siku yenu inakuja maana huwa si mnanijuliza kwanini watu hushangilia misiba ya baadhi ya watu ilhali hamjui chuki hii mmeipanda wenyewe.

Kama mnaona CCM ndio ina haki pekeyake kuishi kwa furaha basi wahamisheni wapinzani wapelekeni nchi ya mbali huko wasiwasumbue.
20251009_032858.jpg
 
Back
Top Bottom