Gekul hana makosa, sababu ni mbili. Mosi, chupa ya cocacola haiwezi kuingia shimo Hilo bila operation ya upasuaji bila ngazi ya nusukaputi. Huo ni uongo wa kwanza. Pili, Paulina Gekul ni Mkristu, alipatizwa na Padri walisoma na Dr Slaa (kabla nguvu za Shetani kumshinda na kuai). Eti anasema huyo Kijana alikuwa anamroga, uongo mkubwa. Mkristu harogwi.