Kutokana Hali ya kiuchumi Ninayo Iona naishauri BOT kutengeneza noti za TSH elfu 50 laki 1 na elfu 30
Noti ya elfu 10 imeshuka thamani huenda ikapotea kama TSH 50 na na zingine zingine
Maana ndani ya miaka mitano ijayo elfu 10 itakuwa Haina thamani kabisa