Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,026
Msema ukweli ni mpenzi wa MunguMfano mi ndo niombe mungu mke mwema wakati anajua kabisa sipitwagi na sket,atanipa kweli?
hapo lazima wakufanana ahusike,
Sent using Jamii Forums mobile app
Msema ukweli ni mpenzi wa MunguMfano mi ndo niombe mungu mke mwema wakati anajua kabisa sipitwagi na sket,atanipa kweli?
hapo lazima wakufanana ahusike,
Sawa mkuu ni mawazo yako.Kupata mke/mme mwema iko mikononi mwa mtafutaji na mazingira anayotumia kumtafuta muhusika,tusimchoshe Mungu kwa uzembe wetu.
Nani alikwambia kwamba Mungu anachoka?Kupata mke/mme mwema iko mikononi mwa mtafutaji na mazingira anayotumia kumtafuta muhusika,tusimchoshe Mungu kwa uzembe wetu.
Kumbe wewe unaamini kwamba kuna Miungu mingi. Tupe prove basi mkuu.
wewe muombe Mungu. kuhusu kukupa au kutokupa ni juu yake.Mfano mi ndo niombe mungu mke mwema wakati anajua kabisa sipitwagi na sket,atanipa kweli?
hapo lazima wakufanana ahusike,
Ahsante sana mkuuUjumbe mzuri, ukifuatilia nyuzi za wanandoa wanazozileta hapa unaweza ukaamua usioe kabisa. Ngoja nitoe mifano
Mume wa mtu ananitesa - JamiiForums
Nitaka nianze mchakato wa talaka! - JamiiForums
Crossroads: Ex wa mke wangu wanaendelea kuwa karibu na wife hadi sasa... - JamiiForums
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu - JamiiForums
DR. WA AFYA YA MAMA NA WATOTO WA HOSPITALI KUBWA MJINI HAPA AMEVUNJA NDOA YANGU BAADA YA KUMJAZA MIMBA MKE WANGU - JamiiForums
Napata tendo la ndoa kutoka kwa mke wangu kwa shida sana - JamiiForums
Kwa mifano iyo michache nawapa pole waliopo kwenye ndoa na nawapa pole sana wanaojiandaa kuoa.
"Typed with my thumbs."
Ni kweli kabisa
Kwa kifupi nikwamba mada haikuhusu ndio maana umeshindwa kuelewa. Tusianze kufundishana maisha kwa maana hatutafika mwisho.Kwahiyo wote walioomba kabla ya kuoa au kuolewa wamefanikiwa?nashindwa kuuelewa msingi wa ulichojaribu kukimaanisha,ila kiufupi maisha hayapo hivyo mkuu,sio kila mtu anategemea hayo ma`DINI...
Mkuu hauna jipya!Kwa kifupi nikwamba mada haikuhusu ndio maana umeshindwa kuelewa. Tusianze kufundishana maisha kwa maana hatutafika mwisho, kwa maana mambo ni mengi na muda ni mchache.
'Mada haikuhusu' Pita kushoto.Mkuu hauna jipya!
'Mada haikuhusu' Pita kushoto.
MADA HAIKUHUSUUUUUHauna jeuri ya kumshauri yeyote kuhusu ndoa,unapaka rangi upepo!
keep calm!
HAHAHAHAMADA HAIKUHUSUUUUU
Sijaongelea Ndoa, Next time kabla ya ku-comment soma vizuri mada husika alafu uje na alternative, sio unakuja na comment ambazo hazina faida.Hauna jeuri ya kumshauri yeyote kuhusu ndoa,unapaka rangi upepo!
keep calm!
Ubarikiwe sana.Amen.