Mwl.Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 279
- 64
wasomi kama nyie mnamwaibisha sana nyerere.....
Mbona haujengi hoja bali unaishia kulalama@Skillionare
wasomi kama nyie mnamwaibisha sana nyerere.....
Wewe kweli ni msaliti mkuu mzoefu. MMM.
Hujui kama CHADEMA ndio chama kikuu cha UPINZANI Tanzania?
Huo usomi wako danganya familia yako tu.
Unamponza Zitto. Umemfanya kawa mnyonge na hana mvuto tena.
Hujui kosa? Upinzani ni CHADEMA.
Mimi binafsi sikatai kuanzishwa kwa chama kipya cha siasa ila kwa mtindo huu unaanzisha chama kwa hasira, sidhan kama patakuwa na muda wa kujenga chama bali ni kumkomoa yule uliyegombana nae,na huo si upinzan, upinzani ni sera hata kama ni za uongo lakin lengo ni kuleta chachu ya maendeleo,kwa uelewa wangu kuanzisha chama si kazi bali kazi ni kukijenga,mfano ccj kilijifia chenyewe bila kuuwawa na mtu yeyote.
Ushauri wangu ni heri ACT wangerudi chadema waombe radhi tusonge mbele na kujenga upinzani imara au muende ccm tu tujue moja maana mikutano yao mingi inafadhiliwa na ccm sasa hapo kuna upinzani?pia niwapongeze chadema kwa kutufumbua macho watz,na kwa uthubutu wa kutimua anayekwenda kinyume na chama,na kwa misimamo yenu hata kama chadema itakwisha{siombei} hadi hapo mmetusaidia hata chadema wanapokosea na wao ni binadam penye ukweli lazima tuseme. Hongereni chadema muwe na mshikamano mpaka kieleweke.
kinyesi.
kwanini sasa mnajipendekeza kwa CUF na NCCR? juzi mmewaita ccm B mara sisimizi leo hii mnawapigia maguti. hamuoni hata aibu? nyie ni wapumbavu tu.
Hao ni wanafiki wanarudisha maendeleo nyuma, waseme kama ni moto ama baridi.
Siyo unafiki wa kujifanya wanaupinzani kazi wanazoyanya ni kubeba chama tawala.
USA kuna vyama vingapi?
Wameambiwa waingie kati ya vyma hivi vikubwa ccm ana Chadema siyo huo UNAFIKI
Multiple IDs hazitowasaidia,Hivi ni chama gani chenye hati miliki ya kufanya siasa hapa nchini eitha kuwa chama tawala au chama/vyama vya upinzani?
mkuu unataka ibaki chadema na ccm tu wakati chadema inakufa!
Mbona haujengi hoja bali unaishia kulalama@Skillionare
unamaanisha nini unaposema upinzani ni chadema?Mbona matusi ka mjamzito.
Umeamua kuja na IDs fake kutukana?
Siasa ni mkakati, usiwe unakariri.
Siasa huendana na wakati.
Msomi gani usielijua hili?
unamaanisha nini unaposema upinzani ni chadema?
Kwa kosa gani hasa? ACT watarudije CHADEMA kama taasisi? Kwa nini unaamini ili kufanya siasa za upinzani lazima uwe CDM?
unisaidie nini we muuza kiboga? akili zako zote zimehamia kwenye kinyeo.Usichoelewa nini, sema nikusaidie kukuelewesha we dada.
Ahsante. Lakini ni vizuri ukawa muwazi zaidi ni kivipi wanachama wetu wanajisemea kwamba CDM watatutambua? Kama taasisi tuna itikadi, falsafa na misingi iliyo wazi kabisa na viongozi wetu wanatembea nayo hiyo. Vijana wetu wanafundishwa siasa za kujenga hoja kwa sababu hatuamini kabisa kwamba siasa ni mchezo mchafu. Kama chama kinachofuata falsafa ya unyerere tunakubaliana na kuzingatia siasa safi kama moja ya visababishi vya maendeleo. Tuache hisia.
hili linamgusa hadi moyoni na hawezi kulijibu. MNAFIKI KWELI HUYU
mkuu mpaka leo wewe hujui....mkuu unaevidence yoyote ya ACT kufaziliwa na CCM katika harakati zao za kisiasa?
sawa mkuuuuMkuu ubarikiwe sana HUU UMEWAFULUMUA WATU KWENYE MAPANGO.