Ushauri kwa ACT na pongezi kwa CHADEMA

Ushauri kwa ACT na pongezi kwa CHADEMA

Kwa kosa gani hasa? ACT watarudije CHADEMA kama taasisi? Kwa nini unaamini ili kufanya siasa za upinzani lazima uwe CDM?

Niliumia sana niliposikia Bwana huyu alienda CDM kwa lengo la kukivuruga Chadema through Zitto. Naumia sana kumwona Zitto ambaye alikubali kutumika kwenye sera za udini na ukabila zilizokuwa zinahasisiwa na CCM through the weak point Zitto kwa Hissani ya wachumia Tumbo Associate Prof Kitla mkumbo

kitila umekimbia au upo
 
Niliumia sana niliposikia Bwana huyu alienda CDM kwa lengo la kukivuruga Chadema through Zitto. Naumia sana kumwona Zitto ambaye alikubali kutumika kwenye sera za udini na ukabila zilizokuwa zinahasisiwa na CCM through the weak point Zitto kwa Hissani ya wachumia Tumbo Associate Prof Kitla mkumbo

kitila umekimbia au upo

Amekimbia kwasababu mwisho wa ubaya ni aibu..na hata akirudi hapa..mkumbo hana jipya..mweupe pee ka unga wa ngano,,
 
Mkuu, heshima kwako, naomba unifahamishe kitu kidogo, siku ile mlipofanya kongamano juu ya katiba mpya pale Nkrumah hall, kongamano ambalo lilihudhuliwa na vigogo wa CCM na kurushwa 'live' na TBC, ambapo wewe ulitoa mchango wako, na mwishowe mheshimiwa Lukuvi alipokuwa anafunga kongamano alikusifia sana kwamba wewe ni msomi mzuri halafu akakupa pole kwa yaliyokukuta i.e kufukuzwa uanachama CHADEMA... alikupa kazi ya kufanya utafiti juu ya wapinzani (UKAWA) kutaka serikali tatu... na kwamba kuna kitu kimejificha nyuma yao... niambie ndugu yangu umefikia hatua gani katika utafiti huo?

Mkuu siku chache BAADA YA KUSIFIWA NA LUKUVI NDIO AKAPEWA HUO UPROFESA.
 
Mimi binafsi sikatai kuanzishwa kwa chama kipya cha siasa ila kwa mtindo huu unaanzisha chama kwa hasira, sidhan kama patakuwa na muda wa kujenga chama bali ni kumkomoa yule uliyegombana nae,na huo si upinzan, upinzani ni sera hata kama ni za uongo lakin lengo ni kuleta chachu ya maendeleo,kwa uelewa wangu kuanzisha chama si kazi bali kazi ni kukijenga,mfano ccj kilijifia chenyewe bila kuuwawa na mtu yeyote.

Ushauri wangu ni heri ACT wangerudi chadema waombe radhi tusonge mbele na kujenga upinzani imara au muende ccm tu tujue moja maana mikutano yao mingi inafadhiliwa na ccm sasa hapo kuna upinzani?pia niwapongeze chadema kwa kutufumbua macho watz,na kwa uthubutu wa kutimua anayekwenda kinyume na chama,na kwa misimamo yenu hata kama chadema itakwisha{siombei} hadi hapo mmetusaidia hata chadema wanapokosea na wao ni binadam penye ukweli lazima tuseme. Hongereni chadema muwe na mshikamano mpaka kieleweke.

Mkuu ubarikiwe sana HUU UMEWAFULUMUA WATU KWENYE MAPANGO.
 
Kwa kosa gani hasa? ACT watarudije CHADEMA kama taasisi? Kwa nini unaamini ili kufanya siasa za upinzani lazima uwe CDM?

> We Prof umechanganikiwa huna maana katika Taifa la wenye akiri kama hili we ni bure kabisa jieshimu wewe msomi acha roho wa madaraka jitafakari wewe kama msomi katika Taifa hili uoni hata haya kuangaika na watoto wanao nuka maziwa "IDIOT"
 
Ahsante. Lakini ni vizuri ukawa muwazi zaidi ni kivipi wanachama wetu wanajisemea kwamba CDM watatutambua? Kama taasisi tuna itikadi, falsafa na misingi iliyo wazi kabisa na viongozi wetu wanatembea nayo hiyo. Vijana wetu wanafundishwa siasa za kujenga hoja kwa sababu hatuamini kabisa kwamba siasa ni mchezo mchafu. Kama chama kinachofuata falsafa ya unyerere tunakubaliana na kuzingatia siasa safi kama moja ya visababishi vya maendeleo. Tuache hisia.

Sikubishii kwani nakubaliana na uwezo wako, lakini najaribu kukuambia wengi wa wanachama wenu wamejiweka kwenye hali hiyo na tunawaona. Kama huamini ngoja muda kidogo nitakuletea tabia ya wanachama wenu na utakubaliana na mimi.
 
basi waende ccm maana ndo wafadhili wao,chukulia arusha wanafungua ofisi jiran na cdm na kila kukicha hawachoki
kuponda cdm,na cdm hatuhami kufata wasaliti.
mkuu unaevidence yoyote ya ACT kufaziliwa na CCM katika harakati zao za kisiasa?
 
Ahsante. Lakini ni vizuri ukawa muwazi zaidi ni kivipi wanachama wetu wanajisemea kwamba CDM watatutambua? Kama taasisi tuna itikadi, falsafa na misingi iliyo wazi kabisa na viongozi wetu wanatembea nayo hiyo. Vijana wetu wanafundishwa siasa za kujenga hoja kwa sababu hatuamini kabisa kwamba siasa ni mchezo mchafu. Kama chama kinachofuata falsafa ya unyerere tunakubaliana na kuzingatia siasa safi kama moja ya visababishi vya maendeleo. Tuache hisia.

Kitila, usifikiri watu wote ni wajinga wa type ya ACT. Even if you don't say it openly, your word, eyes and body language tell so...Hamna nia ya kumkomboa yeyote nchi hii zaidi ya matumbo yenu na maCCM.

Nyerere hakuwa mnafiki wa type yenu, acheni kumchafua Mwalimu na maigizo yenu.

Nishasema, inayojifanya misomi ya nchi hii ndio inayoongoza kuipoteza hii nchi. Bora konda wa daladala au mkulima wa kule kijijini ntamsikiliza kuliko wasomi njaa wa nchi hii.
 
Kwa kosa gani hasa? ACT watarudije CHADEMA kama taasisi? Kwa nini unaamini ili kufanya siasa za upinzani lazima uwe CDM?

huyu naye ni dokta anafundisha elimu ya juu. Tanzania bwana.
 
Kitila Mkumbo je unajua kuwa toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchini mwaka 1992 ni vyama viwili tu vilivyoweza kusajiliwa bila mizengwe na bila kutimiza kikamilifu masharti ya usajili; navyo ni CCM na ACT-Tanzania! Kwa CCM ilieleweka kwani wao ndio walikuwa wapangaji, wachezaji na waamuzi kwa pamoja, je kwa ACT-Tanzania ni kigezo gani kilitumika? Wengine tunakumbuka misukosuko waliyopata waanzilishi wa CCJ na mizengwe waliyowekewa mpaka wakakosa usajili kwa sababu tu CCM ilikuwa na wasiwasi na upinzani ambao wangeutoa. Tunajua kwa mfano kwamba wengi wa waliotaka kuanzisha CCJ hivi sasa ni viongozi wenye nyadhifa kubwa ama ndani ya chama au serikali. Profesa je unaweza kututoa wasi wasi tulio nao kuhusu ushirikiano uliopo kati ya ACT-Tanzania na chama tawala cha CCM?
 
Last edited by a moderator:
Huwezi kutenganisha CCM na ACT, watz sio wajinga kama mnavyofikiria,ACT ni tawi la CCM,Kitila na ZZK wanaujua ukweli. Nashangaa hata huo uprof. Kaupataje,Kitila na Benson Bana ni wasomi wa ajabu sana. Kitila pamoja na usomi wake anamwabudu ZZK.
Demokrasia ipo wapi? Chama mnaanzisha ili kuua upinzani,mliona wapi hiyo?
 
Kitila Mkumbo wa kweli alikuwa Pugu High School na Rais wa Daruso.....huyu wa sasa ni mchumia tumbo tu. Kumbuka tulipofanikisha kukupatia Urais wa Daruso,tulikataa utawala usituingilie kwenye mambo yetu, ukalisimamia hilo, na kumbuka Jenerali Ulimwengu alitoa comments gani alipokuja UDSM na kukuona?....Leo umeamua kutumikia tumbo, haraka haraka umepewa na seneti Associate Professor, huna paper nyingi kama Dr.Manya lakini bado umekuwa Associate, Dr.Manya amekutangulia Udsm, lakini tayari wewe umekuwa Associate, wewe na Kasavubu mko kundi moja ...mnatumika na watawala.

hili linamgusa hadi moyoni na hawezi kulijibu. MNAFIKI KWELI HUYU
 
> We Prof umechanganikiwa huna maana katika Taifa la wenye akiri kama hili we ni bure kabisa jieshimu wewe msomi acha roho wa madaraka jitafakari wewe kama msomi katika Taifa hili uoni hata haya kuangaika na watoto wanao nuka maziwa "IDIOT"



Mbona umepaniki saana! au ndio ushakata tamaa baada ya kujiridhisha kuporomoka kwa hiyo NGO's ya Mtei anf Family?
 
Back
Top Bottom