Jambo lolote unalolifanya kwa hasira mwisho wake huwa hauna baraka!! Watanzania wa leo ni werevu mno - sidhani kama kuna chama chochote kilichopo ama kitakachoanzishwa ambacho hakitaipinga CCM kwa vitendo hadharani, chama cha namna hicho hakitakuwa nafasi kwa siasa za nchi hii.
Mpaka hapo kilipo chama hiki hakieleweki kama ni cha Upinzania ama ni cha kujaribu kudhoofisha upinzani, hasa kugawanya kura za wapinzani 2015 ili CCM ipete. Kuondoa dhana hii vichwani mwa watanzani itakuwa ni kazi ngumu mno, sababu ya matendo ya hawa makada wanayohubiri majukwaani.
Tujiulize ni kwa nini watanzania wanafurahia mno ujio wa UKAWA - jibu ni rahisi wanataka CCM iondoke madarakani haraka iwezekanavyo maana wameichoka. wanataka wapinzani wote waunganishe nguvu.
Sasa ipo wapi nafasi ya chama cha upinzani ambacho hakitaonyesha nia ya dhati ya kuunganisha nguvu pamoja na wapinzani wenzake ili kuishambulia CCM - badala yake kuanza kuvishambulia vyama vingine vya upinzani na kuiacha CCM ikitamba?
Kwa strategic plan hii, hiki chama hakifiki popote.
Mpaka hapo kilipo chama hiki hakieleweki kama ni cha Upinzania ama ni cha kujaribu kudhoofisha upinzani, hasa kugawanya kura za wapinzani 2015 ili CCM ipete. Kuondoa dhana hii vichwani mwa watanzani itakuwa ni kazi ngumu mno, sababu ya matendo ya hawa makada wanayohubiri majukwaani.
Tujiulize ni kwa nini watanzania wanafurahia mno ujio wa UKAWA - jibu ni rahisi wanataka CCM iondoke madarakani haraka iwezekanavyo maana wameichoka. wanataka wapinzani wote waunganishe nguvu.
Sasa ipo wapi nafasi ya chama cha upinzani ambacho hakitaonyesha nia ya dhati ya kuunganisha nguvu pamoja na wapinzani wenzake ili kuishambulia CCM - badala yake kuanza kuvishambulia vyama vingine vya upinzani na kuiacha CCM ikitamba?
Kwa strategic plan hii, hiki chama hakifiki popote.