Ushauri:Kuoa mwanamke mwenye mtoto

Ushauri:Kuoa mwanamke mwenye mtoto

Mwananjengo

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
317
Reaction score
101
Nina mahusiano na dada mmoja na nlitegemea awe mke wangu hapo baadae.

Huyu dada ana mtoto na jamaa mwingine na alivyoniambia na kwamba hawana mahusiano tena na baba mwenye mtoto nkakubali ntamuoa.

Cha kunitia wasiwasi ni ukaribu uliopo kati yake na familia ya huyo baba mwenye mtoto,yani wako karibu kiasi kwamba mtoto anaenda kulala huko.

Huu ukaribu unanipa wasiwasi kama kweli waliachana au ni kunidanganya tu.Je baadae si utaleta shida kwenye familia yetu.Waungwana hebu naombeni ushauri wenu.
 
Mueleze tu msimamo wako na jinsi unavochukulia suala zima la yeye kujizoeza na wale kule. Na utoe amko rasmi je mtoto wewe msimamo wako uko vipi, unamlea au utajivua gamba?

Kuna tabia ya baadhi yenu hamtaki mtu ajihusishe na baby dady kwa lolote afu WAGUMU KAMA NYAMA CHOMA KUMUHUDUMIA YULE MTOTO matokea yake mnamuweka mama mtu kati. Ukiombwa ada na matumizi mengine wa kwanza kufungua bakuli lako "SI ANA BABA YAKE?" Afu mwenzio akiwa kwenye harakati za kujikombakomba ili ada itoke kwa urahisi WIVU unakujaaa! ni jambo lisilowezekana mawasiliano yakatike afu huduma iendelee. kama utkava kila kitu sioni kama kutakuwa na issue.
 
Mkubaliane kabla jinsi ya kulea motto huyo na mahusiano ya ndugu wa mwanaume aliyezaa naye. Theni make kwa muda mkiangalia utekelezaji kama ni sawa na makubaliano kabla hamjaanza kuishi. Ni tabu kidogo kama hawakuachana kwa ugomvi!!! Ninajua wale ambao pengine aliachana na bwana kwa ugomvi na kuwa hakuna mawasiliano mazuri mnaweza kuishi vizuri but wale ambao na mawasiliano wanayo!!! Mhhhhhh kazi ipo.
 
Pazito hapo

Mkuu mleta mada subiri michango zaidi
 
Mueleze tu msimamo wako na jinsi unavochukulia suala zima la yeye kujizoeza na wale kule. Na utoe amko rasmi je mtoto wewe msimamo wako uko vipi, unamlea au utajivua gamba?

Kuna tabia ya baadhi yenu hamtaki mtu ajihusishe na baby dady kwa lolote afu WAGUMU KAMA NYAMA CHOMA KUMUHUDUMIA YULE MTOTO matokea yake mnamuweka mama mtu kati. Ukiombwa ada na matumizi mengine wa kwanza kufungua bakuli lako "SI ANA BABA YAKE?" Afu mwenzio akiwa kwenye harakati za kujikombakomba ili ada itoke kwa urahisi WIVU unakujaaa! ni jambo lisilowezekana mawasiliano yakatike afu huduma iendelee. kama utkava kila kitu sioni kama kutakuwa na issue.

Lara1 anajua kuwa nshakubali majukumu,tushaongea nae nkamwambia tutakaa na mtoto ila huko mwa mume wakisumbua tutamrudisha kwao.Ila naona kama ni vgumu kumtengansha kwan hata leo hii mtoto kaenda kulala kwa Shangazi yake(mdogo wake baba yake).
 
Mkubaliane kabla jinsi ya kulea motto huyo na mahusiano ya ndugu wa mwanaume aliyezaa naye. Theni make kwa muda mkiangalia utekelezaji kama ni sawa na makubaliano kabla hamjaanza kuishi. Ni tabu kidogo kama hawakuachana kwa ugomvi!!! Ninajua wale ambao pengine aliachana na bwana kwa ugomvi na kuwa hakuna mawasiliano mazuri mnaweza kuishi vizuri but wale ambao na mawasiliano wanayo!!! Mhhhhhh kazi ipo.

Hawakuachana kwa ugomvi.Kwa ukaribu nashndwa tukubalianeje kwan kule kwa baba wa mtoto wanafanya kumdai aende.
 
Sasa ulitaka mtoto asiende kuona ndugu zakee???au humpeleka nae mama analala huko huko??
 
Nna mahusiana na dada mmoja na nlitegemea awe mke wangu hapo baadae.Huyu dada ana mtoto na jamaa mwingine na alivyoniambia na kwamba hawana mahusiano tena na baba mwenye mtoto nkakubali ntamuoa.Cha kunitia wasiwasi ni ukarbu uliopo kati yake na familia ya huyo baba mwenye mtoto,yani wako karibu kiasi kwamba mtoto anaenda kulala huko.Huu ukarbu unanipa wasiwasi kama kweli waliachana au ni kunidanganya tu.Je baadae si utaleta shida kwenye familia yetu.Waungwana hebu naombeni ushauri wenu.
Hivi kijana mdogo kama wewe huwaoni mabinti wote wanaotoka vyuoni ambao wako fresh?

Hebu tazama kwa mfano huyo mama anaumwa na anahitaji damu na kwa bahati mbaya damu yako wataalam wanasema haimfai halafu anakuja mzazi mwenzake anapimwa damu wataalam wanaihafiki na anatolewa damu ili kumuokoa huyo unayemuona wewe ni mpya je baada ya kupona wewe utajisikiaje?

Na ukumbuke siku ya mtoto wao kuoa au kuolewa wao ndio watakaa high table kama Baba na Mama mzaa chema.

Mnatuchosha kila siku kuomba ushauri wa kijinga wakati mabinti kibao wanahitaji kuolewa.

mwenye mtoto na aolewe na mwanaume mwenye mtoto pia hapo ndio ngoma droo na siyo mvulana mzima na barehe zako unataka used.
 
Kama macho hayaoni tena beba tu!

Kwani nini we jibebee mzigo huo
 
kuna changamoto nyingi sna kuoa mwanamke mwenye mtt, inabidi uwe tayari kwa yote
 
Hivi kijana mdogo kama wewe huwaoni mabinti wote wanaotoka vyuoni ambao wako fresh?

Hebu tazama kwa mfano huyo mama anaumwa na anahitaji damu na kwa bahati mbaya damu yako wataalam wanasema haimfai halafu anakuja mzazi mwenzake anapimwa damu wataalam wanaihafiki na anatolewa damu ili kumuokoa huyo unayemuona wewe ni mpya je baada ya kupona wewe utajisikiaje?

Na ukumbuke siku ya mtoto wao kuoa au kuolewa wao ndio watakaa high table kama Baba na Mama mzaa chema.

Mnatuchosha kila siku kuomba ushauri wa kijinga wakati mabinti kibao wanahitaji kuolewa.

mwenye mtoto na aolewe na mwanaume mwenye mtoto pia hapo ndio ngoma droo na siyo mvulana mzima na barehe zako unataka used.

Asante kwa ushauri japo na ukali kdogo ultumia ila nmekuelewa.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Shida yote ya nini kuowa mwanamke mwenye mtoto wakati fresh wapo kibao. Kaka na wewe una mtoto sawa, go on. Vyema uoe mwanamke ambaye mtoto wake kakataliwa na aliye mpa mimba
 
Mwanamke mwenye mtoto inafaa aolewe na mwanamme mwenye mtoto kwa ajili ya usalama wa watoto. Vinginevyo, unajiandalia bomu, insecurities zzitakusumbua mno.
 
Shida yote ya nini kuowa mwanamke mwenye mtoto wakati fresh wapo kibao. Kaka na wewe una mtoto sawa, go on. Vyema uoe mwanamke ambaye mtoto wake kakataliwa na aliye mpa mimba

Ok,huyu jamaa hajakataa mtoto.
 
Uzi huu unawaumiza wakaka/wadada wenye watoto na wanashauku ya kuoa/kuolewa.
 
Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni mtihani mgumu,changamoto zake ni nyingi kuliko kawaida,mim ntamuoa mwanamke mwenye mtoto kama baba wa mtoto amekufa.
 
Usiogope mtt kwenda kulala huko kuna sababu nyingi: mojawapo ni ukaribu wa eneo kati ya mama mtt na hiyo familia km ni hatua tano unategemea nini? Anaweza akaenda hata kutwa mara tatu km matumiz ya paracetamol. Sidhan km mngekua mnakaa Arusha kwa Mwanza ingekua rahis.

Mbili ni upendo uliopo huko mtt anapoenda kulala,hata km ingekua umbali hatua moja bila upendo sidhan kwmb angeweza
kwenda kulala.

Tatu,fuatilis kwa undan zaid kubain endapo hakuna uhusiano wa kimapenzi kati yao. Hapa angalizo: mahusiano ya kiuzazi kati yao huwez kuyamaliza kbs,hii inategemea waliachanaje.Sababu za kuachana kati ya wapenz sina mchango mkubwa ktk kukumbukana kimahusiano au kimaumivu.

Lkn usisahau kwmb mapenzi ya mama kwa mtoto ni makubwa kuliko unavyodhan.Kuna faida kubwa kwako kwa mtt kukaa na mamake kuliko hasara ya mtt kukaa mbali na mum, endapo utaamua mtt kwny ndoa yenu.

Ushauri: Mpende kwa upendo wa dhati kutoka moyon ukijua ya kesho huyajui. Anaweza kuwa msaada kuliko uliowazaa japo haina warranty.
 
Back
Top Bottom