Ushauri kuhusu Wakala NMB

Ushauri kuhusu Wakala NMB

Swelana

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2016
Posts
430
Reaction score
1,273
Nimeweka hela kwa wakala nmb, mtandao ukaonyesha uko chini, akanirudishia hela nikasepa, baada ya lisaa napata sms NMB hela imeingia, wakala hatufahamiani, baadae ananipigia anasema ameangalia statement hela imetoka anataka nimrudishie kwa kumtumia maana niko mbali.

Naogopa naweza kumtumia labda NMB nao wakaitoa kwenye akaunti nikawa nimetoa mara mbili na mimi nipo mbali.

Na je nisipomrudhia na nmb wasikate, nitakuwa nimemuumiza

Nifanyeje?ushauri.
 
Ingekua umefanya mobile app kutoa ikatokea hivyo ningeshauri subiri warudishe wenyewe NMB ila kwa kuwa umewekewa hela ikachelewa kusoma na pesa uko nayo wewe hakuna namna hiyo pesa itarudi kwa Wakala fanya haraka asubuhi hii hii mtumie pesa yake Mkuu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom