Uanaume wako ndo unapimwa hapa, kama kila kitu analosema mwanamke wewe unatekeleza sasa nani kaolewa hapo? Vitu vingine lazima uwe na maamuzi yako, pia mnatakiwa mshauriane, mjadiliane na mufikie maamuzi basing on arguments. Ni ujinga mtu kusema napenda hiki kitu bila grounds. Gari lenyewe halina hata shepu, huyo mwanamke naye ana shida kwenye ubongo wake
View attachment 176084Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana, tumefanikiwa kujenga nyumba 4na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya tanzania ,licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa!!
nina wasi wasi kama hapa lengo ni،kuomba ushauri!!!!!
unahisi lengo ni nini
kukamata nyumba ndogo zinazoshobokea wasifu
nina wasi wasi kama hapa lengo ni،kuomba ushauri!!!!!
Teh teh yaani acha tu.....
wahaya bhana mmezidi mbwembwe.
Hizo ni mbwembwe na misifa!
Jasiri haachi asili....
Hapa ngoja niwaite miss chagga, Madame B, Evelyn Salt wajaribu bahati yao.
Wanaweza bahatika kununuliwa treni au helikopta kama ya Ndesamburo ili kukabiliana na foleni za Daslam.
Thank you very much my love. I love you sana.My LOVE yu a so intelijenti ndio maana nakupendaga. Biashara matangazo
Hapa ngoja niwaite miss chagga, Madame B, Evelyn Salt wajaribu bahati yao.
Wanaweza bahatika kununuliwa treni au helikopta kama ya Ndesamburo ili kukabiliana na foleni za Daslam.
Thank you very much my love. I love you sana.
Nikununulie bajaji nawe utese hapa Makambako?
View attachment 176084Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana, tumefanikiwa kujenga nyumba 4na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya tanzania ,licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa!!
Maongezi yetu tufanyie PM my love.ni wewe au nimekufananisha babu mmmmmh
Jasiri haachi asili....
nina wasi wasi kama hapa lengo ni،kuomba ushauri!!!!!
Hata mimi nina wasiwasi mkuu!
kukamata nyumba ndogo zinazoshobokea wasifu