CVT ni gear box ambazo hazitaki kuchanganyiwa oil. Oil zake ni specific. Kuna CVT oil kwaajiri ya Toyota brands kama Toyota Lumion, Vits, Wish, Vanguard etc. Na ipo CVT ya Nissan Dualis, Nissan Xtrail, etc ambayo ipo specific kwaajiri ya gari husika.Naomba ufafanuzi kwanini nisiichukue wakati UMEISIFU ni nzuri..?
Kuhusu gearbox, huku vijiweni kwetu wanasema gearbox yake ni CVT ambayo wanasema ina kama 'maruhani!'
Si kweli. Wewe unatumia hii gari au?!Gearbox yake ni nyepesi kuzingua.. tena na utunzaji wote huwa inasumbua tu.
Asante kwa kutupatia uzoefu wako, mkuu.Hii gari ni nzuri na ipo comfortable, na hata kwenye njia mbovu inapita.
Sema kikubwa ni service, usizidishe mda. Na unapofanya service uwepo kumsimamia fundi.
Kwa upande wangu nilipata taarifa za kimakosa mtandaoni kuwa usibadilishe engine oil mpaka rangi ibadilike, hii ilifanya niue engine, na ikabidi kwenda kuweka engine nyingine na ninaifanyia service ndani ya mda na haijasumbua hadi leo. (Engine ikifa sikushauri kufanya overhaul, chukua fundi wako unayemwamini katafute engine nyingine)
Cha msingi weka recomended oils, kwenye engine oil 5w30 ndo nzuri, usije kumsikiliza fundi anakuambia sijui SAE-40 au nyingineyo.
Kingine jiandae kwa gharama ya spare zake, zipo juu kidogo, ila ukiweka unasahau.
Shida yake nyingine ni vitambaa vya kwenye paa na milango kutoka, ili wapo wanaorudishia.
Vitu vingine nilivyowahi kubadilisha tangia nianze kuitumia; (Inaenda miaka miwili sasa)
1. CV Joint na rubber boot
2. Brake pads
3. Sensor ya ABS
4. Bushes
Mpango wangu ni kuinunua ili niitumie.Mbina husem mambo mengine ya ndan zaud kuhusu hii gar?
Eg. Ukipata matatizo ukataka kuiuza Resale Value yake ipo chini hivyo kuuzika nako inasumbua bciz watu wanhofu na kampun ya Nissan.
Nimeshuhudia moja imeuzwa hapa kitaa chetu kwa 10M na modelbya 2008
Tatizo la kiuchumi tusiilaumu gari ...Ulishaona gari ina muonekano mzuri, iko comfortable halafu wamiliki wake wanakimbilia kutaka kuiuza haraka haraka, tena kwa bei ndogo, basi wewe jua tu kuna kitu hakiko sawa kiuchumi kuhusu hiyo gari.
Hizi hapa chini ni mojawapo ya gari zenye hiyo tabia.
1. Nissan Dualis
2. Nissan Xtrail
3. BMW
Tutafute hela!Tz tuna umaskini sana hakuna gari mbaya kikubwa service hizo subaru unazoshauriwa kununua nazo zinahitaji service kwa wakati ww ukiona mtu anahoji sana kwenye kutaka kununua chuma bas hana hela na ushauri ni kwamba bora atumie usafiri wa uma binafsi hatoweza
Shukrani sana mkuu, ubarikiwe!Gari nzuri hautojutia. Sasa kilometers 25 za rough road wewe unaishije huko halafu upeleke gari kama hii huko?! Huko kuna gari zake. Hii gari haitaki mikiki ya makusudi.
Kwa dharula haina shida ila kama unataka kuisumbua kwa makusudi utakutana na gharam za service.
Kuhusu gear box na engine sio kweli. Hii gari ipo vema sana tu. Shida ni watu kuchanganya oili kuweka oil tofauti ya zile pendekezwa.
Hii gari ina oil yake special ambayo inawekwa kwenye gear box na special ya engine na zina nembo ya kampuni ya Nissan kabisa.
Sasa wengi wanaoziita mbovu sijui pasua kichwa. Mawili. Amenunua kwa mtu ambaye aliikosea adabu au yeye mwenyewe alikuwa hayupo makini ndio imemharibikia.
Ila yote kwa yote ni gari nzuri. Nadhani inafanya vema sana kimauzo zimenunuliwa sana kipindi hiki yaani katika gari utakutana nazo sana barabarani ni hii Nissan Dualis, IST, Subaru Forester XT kwa kutaja chache.
Ndio. Hata mimi natumia.Si kweli. Wewe unatumia hii gari au?!
Muache Fundi Nyundo wetu wa chini ya mwembe!Toa maelezo. Acha maneno ya vijiweni. Fafanua unachokisema uelimishwe.
Shukrani sana.CVT ni gear box ambazo hazitaki kuchanganyiwa oil. Oil zake ni specific. Kuna CVT oil kwaajiri ya Toyota brands kama Toyota Lumion, Vits, Wish, Vanguard etc. Na ipo CVT ya Nissan Dualis, Nissan Xtrail, etc ambayo ipo specific kwaajiri ya gari husika.
Sasa zingatia kutochanganya oil ili uwe salama.
Gari yako ndio Gearbox yake mbovu kishenzi...?! au ni Dualis zote..?!Ndio. Hata mimi natumia.
Gearbox yake mbovu kishenzi
Kwanini..?Nunua Ila hakikisha kipindi chote unachokua unaimiliki uwe na paracetamol kopo 3 zile za kizamani moja unatembea nayo kwenye gar nyngne nyumban nyngne kazin
Nisikukatishe tamaa labda wewe utaiwezea itatuliaKwanini..?
Ina makelele sana yanaumiza kichwa au..?!
Mbina husem mambo mengine ya ndan zaud kuhusu hii gar?
Eg. Ukipata matatizo ukataka kuiuza Resale Value yake ipo chini hivyo kuuzika nako inasumbua bciz watu wanhofu na kampun ya Nissan.
Nimeshuhudia moja imeuzwa hapa kitaa chetu kwa 10M na modelbya 2008
Toleo gani na ulinunua kwa bei gani ?Ndio. Hata mimi natumia.
Gearbox yake mbovu kishenzi
Hawa ndio wachawi wetu. Anatoa experience ya gari ambayo hajawahi hata kuitumia au kuishi nayo maneno ya kuambiwa vijiweni.Muache Fundi Nyundo wetu wa chini ya mwembe!
Hamna kitu kama hicho. Hapo anatakiwa kutembea na box la condom tu.Nunua Ila hakikisha kipindi chote unachokua unaimiliki uwe na paracetamol kopo 3 zile za kizamani moja unatembea nayo kwenye gar nyngne nyumban nyngne kazin