Body Armory
Member
- Jun 24, 2021
- 19
- 10
Wapendwa wanaJf habari zenu, poleni na majukumu ya hapa na pale na kazi katika ujenzi wa taifa.
Napenda kuja kwenu kuwaomba ushauri kuhusu suala ambalo nimeona nije niombe ushauri kwenu
Nimebahatika kuzaa na binti mmoja ambaye katika kuwa kama wapenzi ilitokea akabeba ujauzito wa nyumban kwao walimuulza kuhusu huo ujauzito akawaambia mhusika ambaye ni mm ila wa nyumbani kwao hawanifahamu zaidi ya kuwasiliana nao kwenye cm hasa mama yake, jana nimewasiliana na mama yake binti akaniuliza ni lini nitaenda kumuona mtoto na kwenda
kutambulika pale kwao binti, je napaswa kwenda na vitu gani na pale kwao ni watu wa musoma (wakurya) kwa wale wanaofahamu tamaduni za kabila hili kwa kile nachotaka kwenda kukifanya msaada tafadhali ili nisikurupuke
Ahsante.
Napenda kuja kwenu kuwaomba ushauri kuhusu suala ambalo nimeona nije niombe ushauri kwenu
Nimebahatika kuzaa na binti mmoja ambaye katika kuwa kama wapenzi ilitokea akabeba ujauzito wa nyumban kwao walimuulza kuhusu huo ujauzito akawaambia mhusika ambaye ni mm ila wa nyumbani kwao hawanifahamu zaidi ya kuwasiliana nao kwenye cm hasa mama yake, jana nimewasiliana na mama yake binti akaniuliza ni lini nitaenda kumuona mtoto na kwenda
kutambulika pale kwao binti, je napaswa kwenda na vitu gani na pale kwao ni watu wa musoma (wakurya) kwa wale wanaofahamu tamaduni za kabila hili kwa kile nachotaka kwenda kukifanya msaada tafadhali ili nisikurupuke
Ahsante.