buyoya419
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 555
- 416
Hellow mimi ni kijana tu ambaye soon naanza kujitegemea mwenyewe
Nimepambana kwenye kazi kuhusu pesa nimefanikiwa kupata kama laki 2 hv
So lengo langu kwa washauri wazuri naomba mnipe ushauri mzuri kuhusu ni biashara gani nitakayofanya itakayoendesha maisha yangu milele
Nilishawahi kufanya biashara ya kuagiza headphone n.k kutoka china kuja tz ila wateja kuwapata ndio mtihani
Kazi za kuajiliwa ni mateso tu naona kazi kubwa pesa ndogo
Nikisubili ajira za serikali nitazeeka
Nimepambana kwenye kazi kuhusu pesa nimefanikiwa kupata kama laki 2 hv
So lengo langu kwa washauri wazuri naomba mnipe ushauri mzuri kuhusu ni biashara gani nitakayofanya itakayoendesha maisha yangu milele
Nilishawahi kufanya biashara ya kuagiza headphone n.k kutoka china kuja tz ila wateja kuwapata ndio mtihani
Kazi za kuajiliwa ni mateso tu naona kazi kubwa pesa ndogo
Nikisubili ajira za serikali nitazeeka