Ushauri kuhusu Elimu yangu

Ushauri kuhusu Elimu yangu

Mr Beach Boy

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,702
Reaction score
5,115
Nina bachelor degree in Gender and Development, nataka kwenda Dubai kutafuta maisha.

Ila ndoto zangu nataka kwenda nchi za kiarabu kama njia ya kwenda ulaya...

Hasa scandinavian countries, Sasa naomba kujua vyeti vyangu nibebe au niachane navyo!!

Mana nasikia kule elimu yetu Haina Thamani naombeni ushauri ndugu zangu.
 
usiwe mvivu wa kulima,kama bongo pamekushinda nje hupawezi....... na kwa hyo unga unga yako ni dhahiri hujiwezi tulia tu mkuu
Binadamu hatuwezi kuwa na mtazamo sawa kwenye maisha.

Wewe una mtazamo wako na Mimi ni mtazamo wangu na Imani yangu kuhusu kutafuta pesa.

Usilazimishe mtazamo wako kuwa sawa na mtazamo wa watu wengine.

Kulima hata Norway naweza kulima...
Ahsante kwa mchango wako
 
Binadamu hatuwezi kuwa na mtazamo sawa kwenye maisha.

Wewe una mtazamo wako na Mimi ni mtazamo wangu na Imani yangu kuhusu kutafuta pesa.

Usilazimishe mtazamo wako kuwa sawa na mtazamo wa watu wengine.

Kulima hata Norway naweza kulima...
Ahsante kwa mchango wako
hahaha sawa
 
Sasa wewe Arabuni ufanye njia ya kuelekea Ulaya upo serious kweli? Alikushauri nani?
 
Sasa wewe Arabuni ufanye njia ya kuelekea Ulaya upo serious kweli? Alikushauri nani?
Hahaha 😂 unajiona umeandika point ety hahaha Yani hapa umeandika takataka kwasababu hujui Chochote na huna exposure ya kusafiri.
Funga bakuri subiri ujifunze kupitia huu uzi.

Hujui kama ukiwa Dubai ni rahisi kwenda nchi yoyote duniani kwa upande wa cost?

Kuna nchi ili kwenda zinahitaji travell experience hujui?

Hujui kama watu wanaenda kufanya KAZI Dubai ili kupata capital ya kwenda nchi za ulaya?

Sio uarabuni sema UAE specifically Dubai au Qatar na sio Iraq kwa mama Yako mdogo.
 
Unaenda uarabuni kufanya nini?
Wewe nae em jifunze kusoma na kuelewa Uzi unataka Nini unataka nikufanyie summarization kwa hili phrase???
Nenda kwenye Uzi wa tunda kimasiara ndio pigo zako
 
Aisee, ujanja mwingi mbele giza....karibu Deutschland 🇩🇪 hapa Ila peace of advice punguza ujuaji hasa kwa usio wajua wapo wengi wamesaidiwa kuingia "viwanja" humu humu JF, Ila kwa huu ujuaji wako.
Bwana nitokeeee hapa nani amekuambia anataka msaada wako?
Umeongea pumba unakosolewa unakimbilia ujuaji..

Welcome Miami bro.
 
Hiuo kp
Hiyo kozi aliiletaga profesa nani ? Gender TZ!
Sio kila kitu cha wazungu kinafaa kuletwa Africa. Kwa maoni yangu hii kozi ingefutwa au vijana wasiijaze ijifie yenyewe.
Huko kwa warabu ukipeleka mwmbo ta Gender watakurudisha mara mona.
 
Uzi unauharibu kwa kutoa vichambo kama mama Zuchu.

Wanaokukashfu achana nao, focus na lengo la uzi wako.
 
Back
Top Bottom