Ushauri kuhusiana na course

victor mbuya

Member
Aug 5, 2016
78
32
Shikamoo kwa wakubwa zangu na kwa wengine habari zenu jamani. Mimi ni kijana niliemaliza kidato cha sita mwaka huu mchepuo wa HGE na nikafanikiwa kupata division 1.8 (History B, Geography C and Economics C, Bam S GS S) sasa ninapata changamoto kwenye selection za course ,,nimekwishaselect bsc in agricultural and natural resources economics and business (UDSM) ,,bcom in accounts (UDSM) ,bsc in land management and valuation (ARDHI) ,,bsc in building economics (ARDHI) and lastly bsc economics-project planning and management (.mzumbe), naomben ushaur kwa hio selection ,,asante
 
shkamoo kwa wakubwa zangu na kwa wengine habari zenu jamani,,mimi ni kijana niliemaliza kidato cha sita mwaka huu mchepuo wa HGE na nikafanikiwa kupata division 1.8 (History B,,,Geography C and Economics C ,,Bam S GS ,,S ) sasa ninapata changamoto kwenye selection za course ,,nimekwishaselect bsc in agricultural and natural resources economics and business (UDSM) ,,bcom in accounts (UDSM) ,bsc in land management and valuation (ARDHI) ,,bsc in building economics (ARDHI) and lastly bsc economics-project planning and management (.mzumbe), naomben ushaur kwa hio selection ,,asante
Hahah mbuyaaaaa hongera kijana umepga vzr...sorry coz cna cha kukushauri zaidi ya kukupongeza tu chalii Allah akupe utakacho
 
Back
Top Bottom