victor mbuya
Member
- Aug 5, 2016
- 78
- 32
Shikamoo kwa wakubwa zangu na kwa wengine habari zenu jamani. Mimi ni kijana niliemaliza kidato cha sita mwaka huu mchepuo wa HGE na nikafanikiwa kupata division 1.8 (History B, Geography C and Economics C, Bam S GS S) sasa ninapata changamoto kwenye selection za course ,,nimekwishaselect bsc in agricultural and natural resources economics and business (UDSM) ,,bcom in accounts (UDSM) ,bsc in land management and valuation (ARDHI) ,,bsc in building economics (ARDHI) and lastly bsc economics-project planning and management (.mzumbe), naomben ushaur kwa hio selection ,,asante