Ushauri: Kozi gani ya kusoma ya Biashara (Undergraduate)

Ushauri: Kozi gani ya kusoma ya Biashara (Undergraduate)

Kwanini kozi ya biashara ndo umeifanya kuwa chaguo lako hasa na sio science?
Ebu weka matokeo yako hapa kwa mtiririko huu;
Advanced maths?
Physics?
Chemistry?
Accounts?
Economics?
Commerce?
I.e weka scores za comb yako form six na sio huo mfumo wa gpa/merit tukusaidie vizuri.
 
Kwanini kozi ya biashara ndo umeifanya kuwa chaguo lako hasa na sio science?
Ebu weka matokeo yako hapa kwa mtiririko huu;
Advanced maths?
Physics?
Chemistry?
Accounts?
Economics?
Commerce?
I.e weka scores za comb yako form six na sio huo mfumo wa gpa/merit tukusaidie vizuri.

advance maths B+
physcis C
chemistry B+

hayo apo bos
 
Kasome programme moja mocu inaitwa DCMA...diploma in cooperative management and accounting...nzuri sana...au DMFM
 
kwasababu unaogopa watu wengi course za engineering zinakufaa
 
advance maths B+
physcis C
chemistry B+

hayo apo bos
Nenda engineering ikiwa watayaelewa haya matokeo yako ya BRN.
Achana na biashara make haitoi uwanja mzuri wa kujiajiri.
Soko la ajira kwa nchi yetu limekaa vibaya hasa kwa business graduates.
Telecom, electrical ama mechanical engineering zitakupa uwanja mpana kuanzia kujiajiri mwenyewe hata kuteka soko la waajiri.
Na ikiwa focus yako ni kuajiriwa tu, basi chukua civil ingineering.
 
Nenda engineering ikiwa watayaelewa haya matokeo yako ya BRN.
Achana na biashara make haitoi uwanja mzuri wa kujiajiri.
Soko la ajira kwa nchi yetu limekaa vibaya hasa kwa business graduates.
Telecom, electrical ama mechanical engineering zitakupa uwanja mpana kuanzia kujiajiri mwenyewe hata kuteka soko la waajiri.
Na ikiwa focus yako ni kuajiriwa tu, basi chukua civil ingineering.
Bora Mkuu wewe umetoa ushauri, sio sio jamaa hapo juu amekuwa biased na ame exagerate issue za procurement, ameisifu mara ina ajira nyingi mara account ni sawa na finance, Kwa mfano hakuwa mkweli ameonesha kama wagavi wanajua na kufanya kazi za wahasibu wakati ukweli ni kinyume chake. KIMSINGI TATIZO LA MASOMA YA BIASHARA GRADUATES NI WENGI HADI WATU WENYE UWEZO MDOGO
 
Bora Mkuu wewe umetoa ushauri, sio sio jamaa hapo juu amekuwa biased na ame exagerate issue za procurement, ameisifu mara ina ajira nyingi mara account ni sawa na finance, Kwa mfano hakuwa mkweli ameonesha kama wagavi wanajua na kufanya kazi za wahasibu wakati ukweli ni kinyume chake. KIMSINGI TATIZO LA MASOMA YA BIASHARA GRADUATES NI WENGI HADI WATU WENYE UWEZO MDOGO
Hata mie alinitia hofu sana yule jamaa pengine hana uelewa wa kutosha juu ya course ya procurement ngazi ya bachelor.
Kawaida watu wa Procurement husoma Financial Accounting I ambayo kiuhalisia ni kama basic ila hawezi kuwa na welevu jadidi wa taaluma ya uhasibu kwa ngazi husika.
Mie najilaumu sana kusoma business studies natamani nirudi chuo kuchukua engineering make vigezo vyote ninavyo.
 
Nenda engineering ikiwa watayaelewa haya matokeo yako ya BRN.
Achana na biashara make haitoi uwanja mzuri wa kujiajiri.
Soko la ajira kwa nchi yetu limekaa vibaya hasa kwa business graduates.
Telecom, electrical ama mechanical engineering zitakupa uwanja mpana kuanzia kujiajiri mwenyewe hata kuteka soko la waajiri.
Na ikiwa focus yako ni kuajiriwa tu, basi chukua civil ingineering.

bwana kisima nina ninaitaj kusoma masomo ya biashara naona una uelewa mkubwa naomba uniambie koz ya biashara
 
Pia...ingawa finance na accounting zote ni masomo ys biashara...ila siyo Kweli kwamba haya masomo yanafanana! Ndiyo maana kwa mfano ukisoma UdSm, mwaka wa kwanza wote mtasoma masomo yanayofanana..ikimaanisha kuwa mtu wa account na finance watasoma course zinazofanana, ila mwaka wa pili kila mmoja anaanza ku-base upande wake kulingana na programme anayosomea. Kwa hiyo wote mtakuwa na basic knowledge about finance and account but kadiri mnavyoenda mbele, kila mmoja anasomea alichochagua kwenda kusomea. Hahaha...swala la kazi ...siwezi kusema sana...ingawa hilo ni janga la dunia nzima...labda kujiajiri.
 
bwana kisima nina ninaitaj kusoma masomo ya biashara naona una uelewa mkubwa naomba uniambie koz ya biashara
Mkuu biashara ina ushindani mkubwa sana. Kila mwaka vyuo vinamwaga graduates wengi sana uraiani na wengi wao hata hawana uweledi na wana vyeti vya kuunga unga!
Upande sahihi kwa ulimwengu wa sasa ni science studies make tunaishi kwenye ulimwengu wa teknologia na uvumbuzi!
Ukisoma engineering utakuwa stressfree and you will roam everywhere even by employing yourself.
Ebu fanya uyatendee haki masomo yako(PCM) kwa kuopt kuwa innovative&expert.
Kwa mfano ukisoma accounts sana sana utapata CPA(T), ACCA ama CIMA then what next?? hata alieko nyuma yako nae atakomaa na kukufikia kirahisi tu tofauti na ku expertise kwenye science.
Anyway kama kuna chuo kinatoa Bachelor in International trade and supply chain basi nenda kachukue.
 
Mkuu biashara ina ushindani mkubwa sana. Kila mwaka vyuo vinamwaga graduates wengi sana uraiani na wengi wao hata hawana uweledi na wana vyeti vya kuunga unga!
Upande sahihi kwa ulimwengu wa sasa ni science studies make tunaishi kwenye ulimwengu wa teknologia na uvumbuzi!
Ukisoma engineering utakuwa stressfree and you will roam everywhere even by employing yourself.
Ebu fanya uyatendee haki masomo yako(PCM) kwa kuopt kuwa innovative&expert.
Kwa mfano ukisoma accounts sana sana utapata CPA(T), ACCA ama CIMA then what next?? hata alieko nyuma yako nae atakomaa na kukufikia kirahisi tu tofauti na ku expertise kwenye science.
Anyway kama kuna chuo kinatoa Bachelor in International trade and supply chain basi nenda kachukue.
asantee kwa ushaur wako mzur
 
Write your reply...Tafadhali naweza pata msaada na mimi kidogo
 
Back
Top Bottom