Ushauri katika kadhia hii ya kifamilia

Ushauri katika kadhia hii ya kifamilia

Habari zenu
ha umeyaweza?
Naishia hapa labda na wenzangu mna neno la ushauri

kama tayariulihampa talaka wala usjishughulishe nae tena..kwanza inaonekana hakuheshimu hata kwao wazazi wake hawakuheshimu shukuru tu Umeweza kuuacha usijejitafutiamatatizo mengine, hapo mtoto huyo sio wako na hata mkweo anajua na ndio maana nayeye kakujibu mbovu
 
POLE SANA MKUU, KWA YOTE YALIYOKUKUTA.


"..Baada ya salamu tupeane pole wote kwa kuisoma namba hasa pasina matarajio ya lini hali za kiuchumi zitaka sawa.."
  • samahani mkuu..! sio kila mtu anaisoma namba...

"..Maana alimwaga matusi na maneno vibaya sana na mwisho akanitamkia kua yule mtoto mimi sio baba yake. Baba yake yupo bosi aliempa nafasi kule kazini..."
  • ni kweli wewe sio baba wa mtoto..!
  • Ingekuwa amezungumza maneno mazito kama hayo kwa HASIRA, hasira ingeisha, angekuja kukiri kosa kwa unyenyekevu kama mke.. na angeomba MSAMAHA mara baada ya kutambua amekosa.

"..Ajabu yule mama kwa lugha lainiii kabisa akaniambia sawa kama ishatokea sasa tatizo lako ni nini. Ulitaka mtoto wetu akose kazi sehemu nzuri?.."
  • Huo ni uthibitisho kuwa ni kweli huyo sio mtoto wako, maana hilo jambo alishawahi kumshirikisha hata mama yake.

"..Na mbaya zaidi ananisistiza kuwa hata yule mtoto wa kwanza ni wangu pia kwani zile zilikuwa hasira tu kuniambia maneno yale na pamoja kuwa alinihakikishia mbele ya mama yake kuwa yule mtoto si wangu.."
  • na mimi nasisitiza kuwa huyu SIO MTOTO WAKO.


USHAURI:

Tafadhari, kaa mbali na huyo mwanamke. Usijihusishe nae kabisa katika maswala ya kifamilia.

 
Yaan me hapo chamuhimu nakiona nikupima DNA2 ili kujua kama watoto niwako ili urudishe upendo naucmame kama baba mzaz endapo kama vipimo vitaonesha mtoto niwako
 
ulikosea ulipomwambia unataka kupima DNA......ungewapeleka kimya kimya tuu.....hata sasa, usiende na huyo mtalaka wako....tena usimwambie siku unawapeleka......kimya kimya....ukishajua ukweli utaamua mwenyewe.......wanawake nyieeeeeeeee...
 
Back
Top Bottom