PastorA
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 361
- 275
Habari za mchana madaktari, wabobezi pamoja, watalaam na wajuzi juu ya masuala ya afya ya watu.
Ninaomba ushauri juu ya tatizo la mtu ambaye ana shida hii ya kupata mtoto.
Hapo awali alienda kupima sperm zake ikaonekana hazina uwezo wa kutungisha mimba, lkn baadae alipewa Dawa akanywa, kwa muda wa miezi sita na akafanikiwa kutungisha mimba kwa mkewe japo Bahati mbaya iliharibika.
Sasa tangu hapo amekuwa akihangaika tena lakini bado ameshindikana.
Hapo nilikuwa naomba ushauri wa kitaalam kwa mtu huyu. Je, Arudie dawa au ni timing tu ya kutungisha?
Ninaomba ushauri juu ya tatizo la mtu ambaye ana shida hii ya kupata mtoto.
Hapo awali alienda kupima sperm zake ikaonekana hazina uwezo wa kutungisha mimba, lkn baadae alipewa Dawa akanywa, kwa muda wa miezi sita na akafanikiwa kutungisha mimba kwa mkewe japo Bahati mbaya iliharibika.
Sasa tangu hapo amekuwa akihangaika tena lakini bado ameshindikana.
Hapo nilikuwa naomba ushauri wa kitaalam kwa mtu huyu. Je, Arudie dawa au ni timing tu ya kutungisha?