Eizyek
JF-Expert Member
- Aug 12, 2019
- 800
- 2,767
Wakuu habari gani?
Mimi nilikuwa na mahusiano na binti mmoja since 2014, nilirusha ndoano na mahusiano yetu yakaanzia hapo. Kutokana na harakati za maisha na nini, mimi nilitoka mkoa ule na kwenda mkoa mwengine kiutaftaji kwahiyo mawasiliano yakawa mtiahani kutoka mwaka 2016 adi 2020 tukawa hatujawahi onana wala kuambiana lolote lile.
Mwezi wa 3 mwaka huu kama zali tu akapata number yangu akanichek mahusiano yakarudi upya kwa speed ya 4G, kiukweli ndoto zikaanza kupangwa na upya na mipango mingine ila hapo maana alikuwa na boy mwengine akasema ametamana naye.
Tatizo lilipoanza, nikichelewa kujibu text tu ni msala. Hajui nakuwa na shughuli ama nini anasema “sijui tuachane, sijui kimeenda kimerudi”. Najishusha tunaendelea ikafika time ikabidi nimweke wazi kwamba muda mwengine unavyotuma text nakuwa busy akaelewa.
Sasa jana kuna mtu kanipigia na kunieleza tabia za huyo binti. Kwamba huyo binti ni malaya sana na hajieshimu, mimi nikamuuliza ni kweli kuhusu wewe nilivyoambiwa, akaanza kupaniki kwamba basi tuachane sijui nini mimi nikabaki kimya
Imefika kipindi nimefikiria nimeona ni bora ni break up na huyu mtu kwanza anamarafiki wengi sana wa kiume na kila time anawapost
Ushauri wadau kwamba, je huyo mtu anaweza kuwa mtu sahihi kweli?
Sorry kwa uandishi mbovu
Mimi nilikuwa na mahusiano na binti mmoja since 2014, nilirusha ndoano na mahusiano yetu yakaanzia hapo. Kutokana na harakati za maisha na nini, mimi nilitoka mkoa ule na kwenda mkoa mwengine kiutaftaji kwahiyo mawasiliano yakawa mtiahani kutoka mwaka 2016 adi 2020 tukawa hatujawahi onana wala kuambiana lolote lile.
Mwezi wa 3 mwaka huu kama zali tu akapata number yangu akanichek mahusiano yakarudi upya kwa speed ya 4G, kiukweli ndoto zikaanza kupangwa na upya na mipango mingine ila hapo maana alikuwa na boy mwengine akasema ametamana naye.
Tatizo lilipoanza, nikichelewa kujibu text tu ni msala. Hajui nakuwa na shughuli ama nini anasema “sijui tuachane, sijui kimeenda kimerudi”. Najishusha tunaendelea ikafika time ikabidi nimweke wazi kwamba muda mwengine unavyotuma text nakuwa busy akaelewa.
Sasa jana kuna mtu kanipigia na kunieleza tabia za huyo binti. Kwamba huyo binti ni malaya sana na hajieshimu, mimi nikamuuliza ni kweli kuhusu wewe nilivyoambiwa, akaanza kupaniki kwamba basi tuachane sijui nini mimi nikabaki kimya
Imefika kipindi nimefikiria nimeona ni bora ni break up na huyu mtu kwanza anamarafiki wengi sana wa kiume na kila time anawapost
Ushauri wadau kwamba, je huyo mtu anaweza kuwa mtu sahihi kweli?
Sorry kwa uandishi mbovu