Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 966
- 1,069
Habari ndugu zangu JF?
Kutokana na ugumu wa upatikanaji wa ajira, nimekuwa na wazo la kujiajiri kwa kuzingatia taaluma yangu na ujuzi kiasi katika masuala ya sheria ya kodi na usimamizi, na pia uchumi.
Lengo langu hasa ni kujikita katika masuala ya wa kodi.Ninachooma kusaidiwa ni yafuatayo:
1. Je huduma hii bado ina kipato kizuri kwa small firms?
2. Kwa kawaida malipo ni kiasi gani kwa maandalizi ya hesabu(Yearly Financial Statements,VAT returns e.t.c)?, naomba kupewa wastani, natambua workload zinatofautiana kulingana na kazi inayopatikana.
Thanks in advance,Natanguliza shukrani zangu kwenu
Kutokana na ugumu wa upatikanaji wa ajira, nimekuwa na wazo la kujiajiri kwa kuzingatia taaluma yangu na ujuzi kiasi katika masuala ya sheria ya kodi na usimamizi, na pia uchumi.
Lengo langu hasa ni kujikita katika masuala ya wa kodi.Ninachooma kusaidiwa ni yafuatayo:
1. Je huduma hii bado ina kipato kizuri kwa small firms?
2. Kwa kawaida malipo ni kiasi gani kwa maandalizi ya hesabu(Yearly Financial Statements,VAT returns e.t.c)?, naomba kupewa wastani, natambua workload zinatofautiana kulingana na kazi inayopatikana.
Thanks in advance,Natanguliza shukrani zangu kwenu