ACHA MIHEMKO UKIINGIA KWENYE PROFILE YAKO WANASEMAJENina GPA 2.8, accountancy, niliapply kabla new GPA haijawekwa ya 3.0, nyumbani wananiona sifai hadi ninatamani kujiua ninapenda kuendelea na elimu ila kadri siku zinavyoenda ninazidi kuwaza sana na yote hayo sina hata kazi nifanyeje?
Pole sana mkuu usikate tamaaNina GPA 2.8, accountancy, niliapply kabla new GPA haijawekwa ya 3.0, nyumbani wananiona sifai hadi ninatamani kujiua ninapenda kuendelea na elimu ila kadri siku zinavyoenda ninazidi kuwaza sana na yote hayo sina hata kazi nifanyeje?
Hakuna chochoteACHA MIHEMKO UKIINGIA KWENYE PROFILE YAKO WANASEMAJE
Kujiua sio suluisho pambana ndo maisha kila mtu Ana changamoto zake apa duniani.... Pole kwa yoteNina GPA 2.8, accountancy, niliapply kabla new GPA haijawekwa ya 3.0, nyumbani wananiona sifai hadi ninatamani kujiua ninapenda kuendelea na elimu ila kadri siku zinavyoenda ninazidi kuwaza sana na yote hayo sina hata kazi nifanyeje?