Ushauri jamani bandugu

Yupo kijijini huko watu hawazijui sambusa wanajuha miogo tu.!!Harafu wauza sambusa mnazingua mnasemaga ni za nyama mnajaza mavitunguu tele.
Kweli niliachaga kuzila,ila nahisi kuna faida, kuna Dogo anatuletea kazini, akawa ananiomba kazi, nkamuuliza sambusa kwa Siku ukitoa matumizi unabaki na sh ngapi akasema 20000 nkamwambia baki huko huko, hiyo hela anayoipata hapa kwetu hawawezi kumpa. Na vile shule hana, sambusa zinalipa.
 
atafute sehemu ajitolee kwa bure totally bure maana huko itakua mwanzo wa kupata magepu mengine.

safari moja huanzisha nyingine
 
Tatizo namba moja, Atakua anachagua kazi, mbona kazi zipo nyingi sana, ila sisi wasomi tuna matarajio ya kazi fulani fulani ambayo inapelekea kuchagua kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani baba yke alimlipia ada akasome ili aje kufungua kibanda cha sim,una comment km umelewa banana bhana..!!

Basi baba yake amuajiri mwenyewe.... watu wana masters wanauza chips sembuse hako kadiploma ndio udharau kibanda cha simu tena vinaingiza hela kuliko hata unazozitaka wewe afanye

Nacomment kama nimelewa na wewe ndio waitress
leta bill
 

Tatizo aliyemuomba ushauri ni mbayumbayu na ukute ni yeye mwenyewe ana hako kadiploma anataka kusumbua watu tena kadiploma kakubahatisha huko vichochoroni
 
Basi baba yake amuajiri mwenyewe.... watu wana masters wanauza chips sembuse hako kadiploma ndio udharau kibanda cha simu tena vinaingiza hela kuliko hata unazozitaka wewe afanye

Nacomment kama nimelewa na wewe ndio waitress
leta bill
Leta pombeeee,muongeze banana nyngn huyu mdada naona kashaanza ongea na ka kingereza pombe imemkolea dada Manka. 🀣 🀣 🀣 πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜›
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…