Wewe inaonekana unataka upate tu kuchangamsha jukwaa kwa jibu hili ulilolitoa na uhakika humu unataka likes tu sababu unapewa ushauri unajibu kunya na ni ushauri mzuri tu sasa decade hii mtu una diploma watu kibao ambao Hawana kazi wana degree na masters
Ushauri wangu kwa jamaa yako atafute hela akasome tena kwa diploma hiyo ataishia kusema anarogwa kama anataka kazi ya kiyoyozi
Sent using
Jamii Forums mobile app