peace lady Tz
Member
- Sep 4, 2018
- 19
- 6
Habari zenu wana jf mm Nina Mdgo wangu amechaguliwa Udom bachelor of Education in Early childhood, naomba ufafanuzi kwa anayeifahamu vizuri hii coz kuhusu ajira zake na changamoto zake pia na je ni kozi nzurii ya kusoma?
au akifika chuoni abadilishe tu asome coz nyingine...???? Asanteniii....!
au akifika chuoni abadilishe tu asome coz nyingine...???? Asanteniii....!