Mundana
Member
- Jun 8, 2015
- 84
- 114
- Thread starter
- #41
Asante kwa ushauri wako ndugu.Kwa mwanamke unapokubali kuolewa jua kwamba unaingia kwenye utawala wa Mwanaume kwa hiyo huna budi kufuata anavyotaka, chamsingi aangalie njia mbadala ya kuingiza Pesa akiwa nyumbani afuge hata kuku wa mayai na nyama aweke matangazo Getini.