Ushauri: CHADEMA iige utaratibu wa CCM nafasi moja mtu moja ili kutoa fursa kwa wanachama wengine

Shigganza

Senior Member
May 24, 2018
160
412
Wakati Chadema kinaendelea na uchaguzi wa Ndani wa viongozi wa kitaifa, asilimia kubwa ya walioshinda katika nafasi za uenyekiti wa kanda wanakofia mbili ya ubunge na hiyo ya wenyekiti.

Naona faida nyingi kwa Chama hicho kikibadili kanuni za uchaguzi kwa kuweka kipengele kitakachozuia mwanachama mwenye nafasi nyingine Kama Ubunge, kugombea nafasi za uongozi wa Ndani wa kitaifa hasa uenyekiti wa Kanda na jumuiya za Chama.

Baadhi ya faida hizo ni kutoa fursa kwa wanachama wengine wenye uwezo wa uongozi kuhudumia Chama na hivyo kuwaweka tayari kwa ajili kugombea kwenye nafasi zingine za kisiasa hasa Ubunge.

Faida nyingine ni kuleta mazingira sawa ya ushindani katika chaguzi za Ndani, kwa Mazingira ya sasa pasipo hujuma ni vigumu mno kwa mwanachama wa kawaida wa kumshinda Mgombea mwenye madaraka mengine Kama Mbunge.

Mwisho kuondoa dhana ya kwamba Chama hicho ni Mali ya watu wachache. Ni rahisi sana kwa sasa ukosema Chadema ni Mali ya MBOWE na kikundi chake cha akina Msigwa, Lema,
 
wazo nzuri ILA elewa kuendesha chama cha kisiasa ndani ya nchi yetu kuna vikwazo vingi mno kikiwemo cha kuwa na mapato ya keundesha chama,na ni ngumu mno unapokuwa na mshindani wako ambaye sio political party but ni chama dola,hii ndio maana cdm wanalazimika kuwa na safu ndogo ya uongozi ili kuleta ufanisi na kuendana na mapato yao,ccm wanauwezo wa kuchota pesa kokote na no one atanyoosha mkono wake,kwa hiyo wazo hilo ni nzuri ila for now itakuwa ngumu sana kulitekeleza,binafsi ningependa sana BUNGE letu(ambalo kwa sasa ni rupper stamp one)wangepitisha sharia ya kulazimisha hizi political parties ziweke hadharani vyanzo vyote vya mapato yao na TRA (ILIYO HURU)IWE NA UWEZO WA KUHAKIKI .
 
Wakati Chadema kinaendelea na uchaguzi wa Ndani wa viongozi wa kitaifa, asilimia kubwa ya walioshinda katika nafasi za uenyekiti wa kanda wanakofia mbili ya ubunge na hiyo ya wenyekiti.

Naona faida nyingi kwa Chama hicho kikibadili kanuni za uchaguzi kwa kuweka kipengele kitakachozuia mwanachama mwenye nafasi nyingine Kama Ubunge, kugombea nafasi za uongozi wa Ndani wa kitaifa hasa uenyekiti wa Kanda na jumuiya za Chama.

Baadhi ya faida hizo ni kutoa fursa kwa wanachama wengine wenye uwezo wa uongozi kuhudumia Chama na hivyo kuwaweka tayari kwa ajili kugombea kwenye nafasi zingine za kisiasa hasa Ubunge.

Faida nyingine ni kuleta mazingira sawa ya ushindani katika chaguzi za Ndani, kwa Mazingira ya sasa pasipo hujuma ni vigumu mno kwa mwanachama wa kawaida wa kumshinda Mgombea mwenye madaraka mengine Kama Mbunge.

Mwisho kuondoa dhana ya kwamba Chama hicho ni Mali ya watu wachache. Ni rahisi sana kwa sasa ukosema Chadema ni Mali ya MBOWE na kikundi chake cha akina Msigwa, Lema,

Acha utoto we dogo, Ole Sabaya ni diwani na pia ni DC. Kama huna hoja ni vyema unakaa kimya.
 
wazo nzuri ILA elewa kuendesha chama cha kisiasa ndani ya nchi yetu kuna vikwazo vingi mno kikiwemo cha kuwa na mapato ya keundesha chama,na ni ngumu mno unapokuwa na mshindani wako ambaye sio political party but ni chama dola,hii ndio maana cdm wanalazimika kuwa na safu ndogo ya uongozi ili kuleta ufanisi na kuendana na mapato yao,ccm wanauwezo wa kuchota pesa kokote na no one atanyoosha mkono wake,kwa hiyo wazo hilo ni nzuri ila for now itakuwa ngumu sana kulitekeleza,binafsi ningependa sana BUNGE letu(ambalo kwa sasa ni rupper stamp one)wangepitisha sharia ya kulazimisha hizi political parties ziweke hadharani vyanzo vyote vya mapato yao na TRA (ILIYO HURU)IWE NA UWEZO WA KUHAKIKI .

Wazo zuri, Chadema inachangamoto ya kutokuwa na watu wengi wenye uwezo wa kiuongozi, kwa kuendelea kung’ang’ania utaratibu huo, haitatui tatizo Hilo!
 
Wakati Chadema kinaendelea na uchaguzi wa Ndani wa viongozi wa kitaifa, asilimia kubwa ya walioshinda katika nafasi za uenyekiti wa kanda wanakofia mbili ya ubunge na hiyo ya wenyekiti.

Naona faida nyingi kwa Chama hicho kikibadili kanuni za uchaguzi kwa kuweka kipengele kitakachozuia mwanachama mwenye nafasi nyingine Kama Ubunge, kugombea nafasi za uongozi wa Ndani wa kitaifa hasa uenyekiti wa Kanda na jumuiya za Chama.

Baadhi ya faida hizo ni kutoa fursa kwa wanachama wengine wenye uwezo wa uongozi kuhudumia Chama na hivyo kuwaweka tayari kwa ajili kugombea kwenye nafasi zingine za kisiasa hasa Ubunge.

Faida nyingine ni kuleta mazingira sawa ya ushindani katika chaguzi za Ndani, kwa Mazingira ya sasa pasipo hujuma ni vigumu mno kwa mwanachama wa kawaida wa kumshinda Mgombea mwenye madaraka mengine Kama Mbunge.

Mwisho kuondoa dhana ya kwamba Chama hicho ni Mali ya watu wachache. Ni rahisi sana kwa sasa ukosema Chadema ni Mali ya MBOWE na kikundi chake cha akina Msigwa, Lema,

kuna kijana anaitwa Muhonia, yeye ni Mwenyekiti Bavicha Kata, Mwenyekiti Bavicha Tarime, ni Mwenyekiti Bavicha Mara, na sasa anagombea Makamu Bavicha Taifa. Kitu kama hichi hukikuti CCM, Ukishashinda Wilaya basi unawaza majukumu sio vyeo lukuki hata ugawaji wa majukumu unakuwa mgumu, au mathalani kuna agenda inatakiwa kuanzia kwenye kata umo, wilaya umo, taifa umo ina maana utasukuma mawazo yaleyale, kunapaswa kupokezana kijiti kwa maana ngazi ya juu inaanzia walipoishia wengine, ukikuta na mabaraza mengine hivyohivyo unakuta kikao cha juu kina zaidi ya nusu ya member waliokaa chini hivyo kitachopitishwa ni kilekile bila kuchuja wala kuongeza chochote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom