USHAURI BSC. HUMAN NUTRITION AKA-CANCEL SELECTION?

USHAURI BSC. HUMAN NUTRITION AKA-CANCEL SELECTION?

KISUNZU YP

Senior Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
117
Reaction score
41
Poleni na majukumu ya hapa na pale JAMANI mdogo wangu amechaguliwa kozi hyo ya Human Nutrition ila yeye roho haitaki kabisa na kachaguliwa SUA kozi hyo na ni chuo hicho hicho tu hajachaguliwa kozi nyingine chuo chochote ana One ya 9 masomo CBG sasa JE! Akancel post ili aombe tena na je atapata?

Soko lake liko vipi jamani maana yeye anasema bora ingekuwa FOOD SCIENCE. KARIBUNI KWA USHAURI
 
Aende SUA awahi tu kureport akifika anafanya transfer kwenda Programme anayoitaka mkuu
 
Sas hii si kutokana na kozi anayeitaka kama ana sifa za kujiunga nayo?
Mkuu upo sahihi, ila kwa mujibu ya maelezo ya mtoa mada hapo juu, Anasema Borq ingekuwa Food Sciences and Tech, Kwa Comb aliyosoma na Point alizonazo anaweza kufanya transfer pia!!
 
Poleni na majukumu ya hapa na pale JAMANI mdogo wangu amechaguliwa kozi hyo ya Human Nutrition ila yeye roho haitaki kabisa na kachaguliwa SUA kozi hyo na ni chuo hicho hicho tu hajachaguliwa kozi nyingine chuo chochote ana One ya 9 masomo CBG sasa JE! Akancel post ili aombe tena na je atapata? Soko lake liko vipi jamani maana yeye anasema bora ingekuwa FOOD SCIENCE. KARIBUNI KWA USHAURI
Sasa kwanini hakuomba hyo food science..?
 
Clinical Nutrition ni bora zaidi kwa kipindi cha sasa kama angefanikiwa kuiomba..!
 
Back
Top Bottom