Kozi mbili zinazoshabihiana ila Vyuo tofauti

Makachu

JF-Expert Member
Aug 2, 2022
431
424
Jamani naomba msaada wa kueleweshwa hizi course mbili. Moja ni Bachelor of Science in Food, Nutrition and Dietetics ambayo inatolewa pale OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA(OUT).

Na nyingine ni Bachelor of Human Nutrition ambayo inatolewa pale chuo cha SOKOINE(SUA).

Je, kozi hizo zinafanana au kuna utofauti?

Na kwa kuongezea, kuna kozi inaitwa Bachelor of Food Science and Technology ambayo ipo SUA lakin Pia ipo Chuo cha MUST Mbeya.

Je, inawezekana kwa hilo jina la hiyo kozi ya Open University ikabeba themes/Contents zote mbili yani za Food Science pamoja na Nutrition?

Naombeni, ufafanuzi wataalamu, maana sielewi zinaniconfuse.
 
Nnachofahamu kwa hiyo kozi ya Open university ukimaliza unakuwa unaitwa Afisa Lishe.

Labda inaendana na hiyo ya SUA - Human nutrition kwa maana koz zote zinahusu lishe kwa binadam hiyo ni kwa uelewa wangu.

Cha kushauri nenda kwe Prospectus za kila chuo husika kwenye kozi hizo pitia masomo yanayofundishwa then linganisha utapata majibu zaidi.
 
Nnachofahamu kwa hiyo kozi ya Open university ukimaliza unakuwa unaitwa Afisa Lishe.

Labda inaendana na hiyo ya SUA - Human nutrition kwa maana koz zote zinahusu lishe kwa binadam hiyo ni kwa uelewa wangu.

Cha kushauri nenda kwe Prospectus za kila chuo husika kwenye kozi hizo pitia masomo yanayofundishwa then linganisha utapata majibu zaidi.
Ok Ahsante Comrade, embu nifanye hivyo nipitie Prospectus
 
Back
Top Bottom