Ushauri: Baba hataki nimuoe binti kisa baba yake mkubwa alikuwa mwizi!

Mods mnashobo sana, mimi mbona sijaomba mnirekebishie heading? Mmeweka heading isiyovutiwa wachangiaji
 
Ayo maneno ya kiutu uzima

Wazee wa siku izi wamoto atakua kashamla uyo so anatafuta sababu usimuoe Ila anashindwa kukuchna ukwel

Msikilize dingi yako anamaanisha
 
Mwambie Dingi aache utoto 😂😂😂😂😂 kaza buti uoe haraka kabla wahuni hawajakuzidi speed na kumuoa mrembo au kumpa mimba.
 
Mahusiano siku zote ni watu wawili ukiingiza mtu wa tatu tiyali mahusiano yameshaingia dosari

Kosa kubwa mleta mada nikumwingiza baba yako katika mahusiano yako kama mtu wa tatu katika mahusiano yenu .
Jirani yangu ni Engineer Davis, mke wake mrembo alimuoa baada ya kumsomesha mwenyewe mpaka Form Four. Mashemeji wa Engineer Davis wote ni madereva wa yale ma truck yanayokwenda nje ya nchi. Watoto wake wote wameshapata leseni baada ya kuwa makonda wa ma uncle zao.
 
😂😂😂una maanisha nini hapa?
 
Sina cha kuongezea watu wazima wakati mwingine wanaona mbali na ndo maana zamani wazeee walitahadharisha watoto wao kwamba usioe kwa fulani,pole sana ila tafuta suluhu kwani mama yeye anasemaje
 
Mimi mwenyewe kuna totozi nzuri tu nilitaka kuweka ndani dada yangu mwenyewe alimpitisha anafaa kuwa wifi,nikamshirikisha bibi maana tunaelewana sana ananiambia endelea kutafuta mjukuu wangu maana mama wa yule binti ni mchoyo sana aliwahi kumnyima mama yake mkwe chakula akiwa mgonjwa hadi akaaga Dunia kumaanisha na huyu totozi alikuwepo ikabidi nikubali kushingo upande nisepe
 
Ayo maneno ya kiutu uzima

Wazee wa siku izi wamoto atakua kashamla uyo so anatafuta sababu usimuoe Ila anashindwa kukuchna ukwel

Msikilize dingi yako anamaanisha
Aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…