Ushauri: Anataka ndoa lakini anakibamia

Ushauri: Anataka ndoa lakini anakibamia

Fanya uombe leo mechi, then cheza au zungusha il kibamia kisugue kona zote za ku.marr af kesho leta mrejesho.
 
Ata tukikwambia ukubali atakae enjoy au kukerwa ni wewe.... Ko jibu unalo ndani yako. Umemkubali kama alivyo na hauto mnyanyapaa na kumsimanga kwasababu ya maumbile yake??? Je mkikorofishana hauta tumia maumbile yake kumtukana? Je hautamsaliti kutafuta wenye maumbile makubwa zaidi yake?
 
Anataka ndoa lakini anakibamia nawaza kweli niingie kwenye hii ndoa. Naombeni mawazo yenu
Marriage is beyond love and Sex...husijibu now...olewa kwanza na mtu mwenye sifa unazo taka baada ya miaka 3 ya ndoa ndo unijibu.
 
Umejuaje ni kibamia ?
Ina urefu upi huo mdogo had uhis ni kibamia?
Ulishawahi kutumia sexy toys like dildo ?
Au we ni mpenz wakuchek porno videos ?
Ulisha toa mimba ?
Ulishawah kujichua ?
Huenda ukawa mhanga wa kati ya moja hapo juu
Kwan huridhik mkiwako kunako 6kwa6
 
Hicho kichume kisha kausheni mbegu zake alafu panda shambani. Mtapata bamia nyingi sana na hapo ndoa yenu itakua na raha kwakuwa mtakua mnapata pesa kwa kuuza bamia na mtafanya maendeleo mengi ikiwa ni pamoja na kuongeza mashamba ya bamia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom