Dick Monger
Senior Member
- Apr 1, 2017
- 166
- 235
- Thread starter
- #61
Doh! Mkuu kama huna ushauri wa kunipa basi nashukuru
Doh! Mkuu kama huna ushauri wa kunipa basi nashukuru
Hahaaa, mkuu unateseka? Nipe ushauriWapo watakao maliza kusoma huu uzi na mgegedo tayari utakua unasoma 4G..... Maana sio kwa mbwembwe za uandishi huu aiseeee....
Ahsante kwa ushauri
Sema huwezi kukijua ulichokuwa unakikosa mpaka utakapokipata, hata ungekuwa wewe ungekuwa unakipeleka mkuu, niaminiMmmh, muda mrefu ipweke? Muda gani?
Mbona mm Nina miaka 2 na.miezi 2 bila na Niko fine?
Kuepuka hill, kuwa busy hutoskia hizo hamu.
Pili kila jion piga zoezi walai usiku unalala fofofooo.
Sina la kukushauri mkuu, maana tayari ushatiwa ulemavu wa kizazi...Hahaaa, mkuu unateseka? Nipe ushauri
Mkuu nategemea busara zakoUkisikia kunogewa na Ub🙊🙊
Ahsante kwa ushauri wa kitaalamuHali ya kawaida hiyo,mashine yake inagusa mlango wa kizazi ndio maana unapata maumivu ya tumbo;anavyopush anagusa kwenye cervix ndio maana tumbo linakuuma,inawezekana wewe sio mrefu sana,ila kwa ushauri tumia staili itakayozuia isiingie yote,na pia wewe uki-pees(ukimwaga) usubiri kwanza kwa muda ndio muendelee lasivyo k itakuwa kavu na mashine itaendelea kukuchubua.
Hili nalo neno!umenenaSema huwezi kukijua ulichokuwa unakikosa mpaka utakapokipata, hata ungekuwa wewe ungekuwa unakipeleka mkuu, niamini
Tatizo ni mwili wako wala siyo yeye, hata ukimuacha hali itaendelea kwa atakayefuata!Tunapenda kugegedwa vizuri, mtu ufike mwisho wa safari na huyu anajitahidi, tatizo maumivu, tumbo langu
Acha uboya sex ni hitaji kama kula na kunywa hasa ukishafika age of the majority!!! usikalili maisha, je usipoolewa?Very cheap mtu hajakuoa kila Siku unajipeleka kukunjwa?
Eti najipeleka kha! Ndio maana wanaume wanatudhalau.
Mkuu nategemea busara zako
Don't tell me...na wewe ni mmoja wao !!!? HahaWapo watakao maliza kusoma huu uzi na mgegedo tayari utakua unasoma 4G..... Maana sio kwa mbwembwe za uandishi huu aiseeee....
HahaSina la kukushauri mkuu, maana tayari ushatiwa ulemavu wa kizazi...