Ushauri: Ananiumiza Tukigegedana, Natamani Kumwacha

Mmmh, muda mrefu ipweke? Muda gani?

Mbona mm Nina miaka 2 na.miezi 2 bila na Niko fine?
Kuepuka hill, kuwa busy hutoskia hizo hamu.

Pili kila jion piga zoezi walai usiku unalala fofofooo.
Sema huwezi kukijua ulichokuwa unakikosa mpaka utakapokipata, hata ungekuwa wewe ungekuwa unakipeleka mkuu, niamini
 
Hali ya kawaida hiyo,mashine yake inagusa mlango wa kizazi ndio maana unapata maumivu ya tumbo;anavyopush anagusa kwenye cervix ndio maana tumbo linakuuma,inawezekana wewe sio mrefu sana,ila kwa ushauri tumia staili itakayozuia isiingie yote,na pia wewe uki-pees(ukimwaga) usubiri kwanza kwa muda ndio muendelee lasivyo k itakuwa kavu na mashine itaendelea kukuchubua.
Ahsante kwa ushauri wa kitaalamu
 
Back
Top Bottom