Ushauri: Ananiumiza Tukigegedana, Natamani Kumwacha

Ushauri: Ananiumiza Tukigegedana, Natamani Kumwacha

Ok.. nilijua nina asilimia chache za ufahamu wa kujua wanawake wanataka nini ila sasa hivi kwakweli hata sijui wanawake wanataka nini.. i'm Completely confused..Pole dada..

#Muungwana_John
Tunapenda kugegedwa vizuri, mtu ufike mwisho wa safari na huyu anajitahidi, tatizo maumivu, tumbo langu
 
Jamani mapenzi ni matamu hasa ukimpata mjuzi wa mambo lakini mimi nina tatizo, naombeni ushauri. Mwanzoni mwa mwaka huu, kuna kaka nimekutana naye, akanitongoza na baadaye tukaanzisha uhusiano. Kiukweli nilimkubalia siyo kwa sababu nampenda, bali nilikuwa kwenye kipindi kigumu sana kihisia kwa sababu ya upweke.
Nakiri kwamba sikumuona kuwa type yangu kwa mwonekano wake wa nje, kwanza nilikuwa namuona kama bado mdogo halafu kama hajatulia hivi, ila nikasema ngoja nizugezuge naye wakati nasubiri husband material, mi napendaga ma-gentlemen, wale wanaojielewa. Basi akawa kila akitaka sex mi namzugazuga, ikafika mahali na mimi nikawa na hamu ya kwichikwichi, basi nikaamua ngoja nimtunuku kwani kila siku analialia anataka.
Basi tukapanga appointment na hatimaye yakatimia, mimi na yeye chumbani. Kwanza alinishtua kutokana na mgegedo aliojaaliwa, siyo mkubwa sana lakini mashalaah, nikasema nilikuwa nachelewa nini siku zote hizo?
Basi wala hakuwa na papara, baada ya foreplay akaingia, kiukweli raha niliyoipata ilikuwa haielezeki,mashine ngumu halafu imefiti vizuri, basi nikawa naugulia tu kwa mautamu.
Basi na mimi sikutaka kubaki nyuma, nikajitahidi kumfurahisha, kiuno nikakishughulisha weee mpaka ikafika mahali, nimechoka mwenzangu bado yuko ngangari kwelikweli, halafu anafika deep sea. Alinisulubu kisawasawa, dakika kama arobaini hivi ndo anafika mshindo, mimi hoi! Tulipumzika na kiukweli niichoka sana, hamu zote zikawa zimeniisha. Cha ajabu, baada ya muda, tunapigapiga stori si nikashtukia kitu kinasoma 4G tena, nikaona anaweza kunitoboa bure, nikatumia ujanja na kumuahidi kwamba tutakutana tena kesho yake. Ilikuwa ngumu kunielewa lakini alikubali kwa shingo upande.
Basi niliporudi hom nilianza kusikia maumivu makali sana ya tumbo,huku ikulu kunawaka moto, ukimwagia maji ndiyo usiseme. Mi huwa napenda kugegedwa vizuri lakini huyu aliniweza, alikuwa ni faya.
Nilikaa wiki nzima namzungusha lakini pia nikiuguza tumbo, wikiendi hiyo nikawa nimemisi tena anigegede, nikampelekea, mambo yakawa yaleyale na siku hiyo alikuwa anakula kiroho, mpaka nikawa nahisi kufakufa. Siku hiyo nilimuachia apige mbili, akachukua kama saa na nusu hivi mimi hoi. Tulipoachana tumbo likaanza tena kuniuma.
Basi ikawa kila tukikutana, ananisulubu mno, nikitoka naumwa tumbo hata wiki nzima, nikipona tu najikuta nammiss nampelekea tena, na yeye akiiona anaitendea haki kwelikweli. Imefika mahali natamani kumuacha kwa sababu naumia kila nikikutana naye lakini nikikumbuka maufundi nakuwa sipo tayari kuona mwanamke mwingine anafanyiwa kama navyofanyiwa mimi, natamani awe wangu peke yangu. Imefika mahali hata sijielewi, nikijisikia tu hamu najipeleka kama mbwa anavyojipeleka kwa chatu, ananishindua wee nikitoka naumwa.
Naombeni ushauri wakuu.
mweleze tu mzee baba kwamba mchezo anaweza na ww unafurahia ila baada ya mchezo kuna maumivu ya tumbo nk. alafu kwa pamoja mtapata ufumbuzi kama ni tatizo la staili, au kimatibabu mtasolve.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very cheap mtu hajakuoa kila Siku unajipeleka kukunjwa?

Eti najipeleka kha! Ndio maana wanaume wanatudhalau.
Nakuwa napenda dada, ujue nimekaa mpweke muda mrefu na sikuwahi kuwa nakoshwa kiasi hiki, najikuta tu najipeleka
 
Hili ni jina tu watu wengi huwa wanashindwa kunielewa, ni kifupi cha majina yangu
hapo juu umesema unajipeleka kama mbwa anavyojipeleka kwa chatu,,
na unatuambia eti dick monger ni kifupi cha jina lako LOL!!
Good try again...
 
Back
Top Bottom