prospilla
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 1,150
- 1,716
Habari wanajukwaa?
Mke wangu mwenye umri wa miaka 26 aligundulika ana saratani ya matiti akaanza kupatiwa dozi za chemotherapy, amepata mizunguko 8 na hatimaye uvimbe uliokuwepo kwenye ziwa umepotea kabisa.
Tangu anavyoanza tiba ya chemo madaktari walisema mwisho itabidi kuondoa ziwa kabisa ili kutoruhusu vimelea kujirudia tena. Ila mgonjwa hataki kuondoa ziwa.
Je hii inaweza kuja kuwa na hatari kiasi gani hapo mbeleni?
Mke wangu mwenye umri wa miaka 26 aligundulika ana saratani ya matiti akaanza kupatiwa dozi za chemotherapy, amepata mizunguko 8 na hatimaye uvimbe uliokuwepo kwenye ziwa umepotea kabisa.
Tangu anavyoanza tiba ya chemo madaktari walisema mwisho itabidi kuondoa ziwa kabisa ili kutoruhusu vimelea kujirudia tena. Ila mgonjwa hataki kuondoa ziwa.
Je hii inaweza kuja kuwa na hatari kiasi gani hapo mbeleni?