USHAURI:ana mapenzi ya kweli au ananipetezea muda

USHAURI:ana mapenzi ya kweli au ananipetezea muda

Aisee! Fanya hivi kaa kimya wiki nzima kuanzia leo! Yani usibip, tafadhali nipgie wala text,utapata jibu baada ya hapo fanya uamuzi mgumu!!

asante ntafanya hvyo...unajua kuna wa2 wanapendwa sana ila hawathamn mapenz wanayopewa,ana miaka karbu 32 nkajua atatulia kumbe napoteza muda..daaah
 
Huyo alikuwa anakupenda kipind una kaz saiv ameona unamchosha kumwomba omba pesa hvyo anashndwa kukwambia amekuchoka anatafuta vijisababu akuache kwa kweli inaumiza bt wat u suppose to do is to find a work hii itarudisha heshma ndugu trush me fanya uwezavyo upate kaz

asante sana...yan nna tafuta kazi kla leo bt nahs bahati bado haijafka,nna degree n vry ambitious gal natumai ipo cku ntapata mpendwa.
 
mm ni msichana mtoaji n cna roho mbaya hata kdgo,yan nmeshawah kumpa hela na co mara 1 n hata vocha nlkuwa namtumia cos mapenz ni give n take...cmpgi miznga ya ajab kama ulvyowaza,ni jst cna kazi kwa nw nahitaj msaada wake,ss unatka nitafute wa nje wa kunipa wkt muhuska ypo???

Shika njia uende bint hakufai huyo,yaani chako chake,chake chake HAH!! Inahusu?
Angalia maisha yako kwa sasa,usimtafute na akikupigia ongea naye kama unaongea na jirani tu,kama bado una nafasi kwake atakutafuta myaongee hapo funguka kamili usibakize ila akipotezea ujue alikuwa anatafuta sababu!!!!
 
Huyo alikuwa anakupenda kipind una kaz saiv ameona unamchosha kumwomba omba pesa hvyo anashndwa kukwambia amekuchoka anatafuta vijisababu akuache kwa kweli inaumiza bt wat u suppose to do is to find a work hii itarudisha heshma ndugu trush me fanya uwezavyo upate kaz
Manka M mic u jaman.
 
Last edited by a moderator:
Kama umeeleza matatizo 10 basi 9 yote ni ya pesa na 1 tu ndo la tofaut la kupiga simu...kama shida'ko ni penzi vumilia ila ka shida'ko ni pesa mbona umechelewa kuondoka hadi sa upo bado.?.??.
 
asante ntafanya hvyo...unajua kuna wa2 wanapendwa sana ila hawathamn mapenz wanayopewa,ana miaka karbu 32 nkajua atatulia kumbe napoteza muda..daaah
maama wee unadhani wanijifkiriaga hao hata akiwa na 50 mchkulie ka mtoto wa chekechea.
 
prettydiva Ebu jifunze kuunganisha maneno kamili kama ulivyofundishwa kipindi kile darasani, niwe muwazi sijakuelewa ulichoandika kabisa. Acha hivyo vifupisho vya maneno na sentensi iweke kamili, punguza papala.
walioelewa tayari wamenisaidia labda ushauri wako haukuwa wa kunijenga...pole kwa hilo.
 
Last edited by a moderator:
binti! we kaa na jamaa yako muyamalize...labda naye ana stress zake anashindwa kukuambia.....mueleze vle unavyokosa mapenzi na kujitoa kwake kwa ajili yako! Hop kama anakupenda atajirekebisha!
 
binti! we kaa na jamaa yako muyamalize...labda naye ana stress zake anashindwa kukuambia.....mueleze vle unavyokosa mapenzi na kujitoa kwake kwa ajili yako! Hop kama anakupenda atajirekebisha!
yeah!hapo umeongea wangu.
 
binti! we kaa na jamaa yako muyamalize...labda naye ana stress zake anashindwa kukuambia.....mueleze vle unavyokosa mapenzi na kujitoa kwake kwa ajili yako! Hop kama anakupenda atajirekebisha!

nmeshamueleza mara nyng sana,na kla cku nljua atabadilka ili maisha yaende na hatimaye tuje kuwa na familia ila hakuna mabadiliko...nashukru sana kwa ushauri
 
mi nakushauri kaa kimya msikilize,usikubali tabia ya kukuigia simu muda anahitaji game.akifanya hivyo hairisha usimpe mpaka ajirudi.
 
been there bby, its had diva but jikaze kikomando, na wewe kaa kimya since you hv already played ur part,akinyamaza utatia akili kumkichwa na kujua mbivu na mbichi zipi, and remember it takes 2 to tangle..tho mapenzi huwa yana sacrifice:A S 13: zake
 
yeah!hapo umeongea wangu.

ndo hivyo...maana ktk maelezo yake hakuna sehemu ambayo amejaribu kumdadisi jamaa....anaishia kumjaji kwa vigezo vyake vya kutotumiwa zawadi n.k!.....akikaa na huyo jamaa yake na kumwambia ukweli wa vile anavyojiskia kutengwa, nazan itamsaidia kumjua jamaa kama ana mapenzi naye au la!
 
.... Muwe mnatupia na namba za simu za wapenzi wenu nao tunaongea nao Inamaana wao hawana mazuri??
 
Back
Top Bottom