Ushauri: Aliniibia sasa anataka turudiane, nataka kumpeleka Polisi

Ushauri: Aliniibia sasa anataka turudiane, nataka kumpeleka Polisi

bigboss1

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2015
Posts
319
Reaction score
196
Huu ni ukwelii.

Hamjamboo wakuu?

Nilikuwa na jamaa yangu aliniita kwake akaniibia hela nilipokuwa jikoni napika hiyo ndio naelewa. Kwa maana niliacha pochi sebuleni kwenye kochi yeye alikuwa anaangalia mpira.

Saa ya kuondoka akanipeleka kituo cha daladala akanipa hela kama nauli kupanda kwenye daladala nikaulizwa nauli ile tu nataka nitoe hela hakuna kwenye pochi kuangalia zile alizonipa zinaalama ya herufi ya ni ambayo nawekaga alama hela zangu zote.

Ukiangalia ni mtu mzima 40-45 ila ni mwizi.

Ukiangalia hajapungukiwa na vijisenti alivyovisogeza akidai kunipa kama nauli.
Kumuuliza ananiita malaya eti na msingizia nijipange maana naongea uongo.
Isitoshe hana hayo mambo. Nikaamua kumblock.

Miezi miwili kupita ananipigia na namba mpya turudiane eti amekosa yeye alikuwa kalogwa ni shetanii tu. Nikimrudia atanipeleka mahali nikaanze kazi, Nilikata simu nikawaza nikaona nije humu niombe ushauri maana nataka nimpeleke polisi siwezi kumuwazia mtu mwizi tapeli anaibia wanawake hela tena wadogo.
z
Ila kabla sijachukua uamuzi wowote nasubiri kwanza maoni yenu kama unaweza kunishauri nishauri ila kauli mbaya kweli sihitajii. Halii ni tete so nahitaji wastaarabu. please.
 
Mwanzo wa makubwa ni madogo, ameanza kukubipu subiri akupigie kabisa. Huyo ni mwiz kibaka wa mifukoni. Tena ana tamaa ya mali hivyo siku ukipata ataweza kukuua kabisa. Kimbia kabla hyjapoteza uhai.. Halafu kama aliweza kukuita ma=la=ya basi hakupendi. Ameomba mrudiane ili akutumie tu na mwisho atakuacha kwa kuwa umeshajua dhaif lake kubwa. Achana na mwizi huyu.
 
Mwanzo wa makubwa ni madogo, ameanza kukubipu subiri akupigie kabisa. Huyo ni mwiz kibaka wa mifukoni. Tena ana tamaa ya mali hivyo siku ukipata ataweza kukuua kabisa. Kimbia kabla hyjapoteza uhai.. Halafu kama aliweza kukuita ma=la=ya basi hakupendi. Ameomba mrudiane ili akutumie tu na mwisho atakuacha kwa kuwa umeshajua dhaif lake kubwa. Achana na mwizi huyu.
Nikweli uyasemayo ni ataniua siku moja na wala hanipendi upo sahihi.
 
Mmmh kigawe kikubwa cha shirika.... Ni matokeo ya wadhambi hayo oaneni ndio ushauri la sivyo kila rangi hutoacha Iona kama serikali hii sheria zenu zipo njiani
 
Huu ni ukwelii.
Hamjamboo wakuu?
Nilikuwa na jamaa yanguu aliniita kwake akaniibia hela nilipokuwa jikoni napika hiyo ndio naelewa .
Kwa maana niliacha pochi sebuleni kwenye kochi yeye alikuwa anaangalia mpiraa.
Saa yakuondoka akanipeleka kituo cha daladala akanipa hela kama nauli kupanda kwenye daladala nikaulizwa nauli ile tu nataka nitoe hela hakuna kwenye pochii kuangalia zile alizonipa zinaalama ya herufi ya n ambayo nawekaga alama hela zangu zote.
Ukiangalia ni mtu mzima 40-45 ila ni mwizii .
Ukiangalia hajapungukiwa na vijisenti alivyovisogeza akidai kunipa kama nauli.
Kumuuliza ananiita malaya eti na msingizia nijipange maana naongea uongoo.
Isitoshe hana hayo mamboo.
Nikaamua kumblock.
Miezi miwili kupita ananipigia na namba mpya turudiane eti amekosa yeye alikuwa kalogwa ni shetanii tu.
Nikimrudia atanipeleka mahali nikaanze kazii.
Nilikata simu nikawaza nikaona nije humu niombe ushauri maana nataka nimpeleke polisi siwezi kumuwazia mtu mwizi tapeli anaibia wanawake hela tena wadogo.
Ila kabla sijachukua uamuzi wowote nasubiri kwanza maoni yangu kama unaweza kunishauri nishauri ila kauli mbaya kweli siitajii.
Halii ni tete so nahitaji wastaarabuu. please.
Mmmmmm difference yenu ikoje hapo
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Sijaelewa kichwa cha habari kinahusianaje na hii sakata. Ulimaanisha malaya ama mwizi?

Watu hawabadiliki Tabia isipokuwa pale wanapoamua kubadilika. Ukisharudiana Na mwizi wako, amejipanga kuwa kulogwa-proof? Usije ukamrudia afu akawa kalogewa kikubwa zaidi akaiba pochi nzima nzima ukakosa hata nauli.

Kweli malimwengu! I blame it on ccm though...
 
Huu ni ukwelii.
Hamjamboo wakuu?
Nilikuwa na jamaa yanguu aliniita kwake akaniibia hela nilipokuwa jikoni napika hiyo ndio naelewa .
Kwa maana niliacha pochi sebuleni kwenye kochi yeye alikuwa anaangalia mpiraa.
Saa yakuondoka akanipeleka kituo cha daladala akanipa hela kama nauli kupanda kwenye daladala nikaulizwa nauli ile tu nataka nitoe hela hakuna kwenye pochii kuangalia zile alizonipa zinaalama ya herufi ya n ambayo nawekaga alama hela zangu zote.
Ukiangalia ni mtu mzima 40-45 ila ni mwizii .
Ukiangalia hajapungukiwa na vijisenti alivyovisogeza akidai kunipa kama nauli.
Kumuuliza ananiita malaya eti na msingizia nijipange maana naongea uongoo.
Isitoshe hana hayo mamboo.
Nikaamua kumblock.
Miezi miwili kupita ananipigia na namba mpya turudiane eti amekosa yeye alikuwa kalogwa ni shetanii tu.
Nikimrudia atanipeleka mahali nikaanze kazii.
Nilikata simu nikawaza nikaona nije humu niombe ushauri maana nataka nimpeleke polisi siwezi kumuwazia mtu mwizi tapeli anaibia wanawake hela tena wadogo.
Ila kabla sijachukua uamuzi wowote nasubiri kwanza maoni yangu kama unaweza kunishauri nishauri ila kauli mbaya kweli siitajii.
Halii ni tete so nahitaji wastaarabuu. please.

Nashindwa ku connect dots ktk story yako. Jamaa yako, alikuita, ukawa unapika, 40-45yrs, kukupa nauli saa ya kuondoka, katika daladala unagundua hakuna hela ktk pochi, anaibia wanawaketena wadogo, unataka umpeleke polisi after two months nk ??
 
Huu ni ukwelii.
Hamjamboo wakuu?
Nilikuwa na jamaa yanguu aliniita kwake akaniibia hela nilipokuwa jikoni napika hiyo ndio naelewa .
Kwa maana niliacha pochi sebuleni kwenye kochi yeye alikuwa anaangalia mpiraa.
Saa yakuondoka akanipeleka kituo cha daladala akanipa hela kama nauli kupanda kwenye daladala nikaulizwa nauli ile tu nataka nitoe hela hakuna kwenye pochii kuangalia zile alizonipa zinaalama ya herufi ya n ambayo nawekaga alama hela zangu zote.
Ukiangalia ni mtu mzima 40-45 ila ni mwizii .
Ukiangalia hajapungukiwa na vijisenti alivyovisogeza akidai kunipa kama nauli.
Kumuuliza ananiita malaya eti na msingizia nijipange maana naongea uongoo.
Isitoshe hana hayo mamboo.
Nikaamua kumblock.
Miezi miwili kupita ananipigia na namba mpya turudiane eti amekosa yeye alikuwa kalogwa ni shetanii tu.
Nikimrudia atanipeleka mahali nikaanze kazii.
Nilikata simu nikawaza nikaona nije humu niombe ushauri maana nataka nimpeleke polisi siwezi kumuwazia mtu mwizi tapeli anaibia wanawake hela tena wadogo.
Ila kabla sijachukua uamuzi wowote nasubiri kwanza maoni yangu kama unaweza kunishauri nishauri ila kauli mbaya kweli siitajii.
Halii ni tete so nahitaji wastaarabuu. please.

Kwa nini msichana mdogo kama wewe unatembea na vibabu???Huoni huko ni kutudhalilisha sisi vijana???
 
Huu ni ukwelii.
Hamjamboo wakuu?
Nilikuwa na jamaa yanguu aliniita kwake akaniibia hela nilipokuwa jikoni napika hiyo ndio naelewa .
Kwa maana niliacha pochi sebuleni kwenye kochi yeye alikuwa anaangalia mpiraa.
Saa yakuondoka akanipeleka kituo cha daladala akanipa hela kama nauli kupanda kwenye daladala nikaulizwa nauli ile tu nataka nitoe hela hakuna kwenye pochii kuangalia zile alizonipa zinaalama ya herufi ya n ambayo nawekaga alama hela zangu zote.
Ukiangalia ni mtu mzima 40-45 ila ni mwizii .
Ukiangalia hajapungukiwa na vijisenti alivyovisogeza akidai kunipa kama nauli.
Kumuuliza ananiita malaya eti na msingizia nijipange maana naongea uongoo.
Isitoshe hana hayo mamboo.
Nikaamua kumblock.
Miezi miwili kupita ananipigia na namba mpya turudiane eti amekosa yeye alikuwa kalogwa ni shetanii tu.
Nikimrudia atanipeleka mahali nikaanze kazii.
Nilikata simu nikawaza nikaona nije humu niombe ushauri maana nataka nimpeleke polisi siwezi kumuwazia mtu mwizi tapeli anaibia wanawake hela tena wadogo.
Ila kabla sijachukua uamuzi wowote nasubiri kwanza maoni yangu kama unaweza kunishauri nishauri ila kauli mbaya kweli siitajii.
Halii ni tete so nahitaji wastaarabuu. please.
umenifanya nacheka kama mwehu kwenye daladala
 
Ushasema wanaibiwa wanawake tena wadogo sasa unafata nn kwa kibabu hcho mambo mengne mnajitaikaga mwenywe
 
Mwanaume yeyote anachunguza pochi ya mpz wake sio sahihi ! Ni kumuacha kabisa bila huruma! Kaa mbl saana!! Maana utakuja kulia!😀ogo
 
Huyo ni mdudu ukimchanganya na mbegu atabungua!! Vunja urafiki huyo si binadamu .
 
HV tukikujb rudiana nae utarudiana nae sababu sisi t umesema au sababu utaona ni sahihi?
 
Nashindwa ku connect dots ktk story yako. Jamaa yako, alikuita, ukawa unapika, 40-45yrs, kukupa nauli saa ya kuondoka, katika daladala unagundua hakuna hela ktk pochi, anaibia wanawaketena wadogo, unataka umpeleke polisi after two months nk ??
Na mimi nimeshindwa kuelewa hii story!!
Na nimeshangaa watu wameelewa na kuchangia!! Heading ndo imenivuruga kabisa!!
 
Back
Top Bottom