USHAURI: Achague yupi kati ya wawili hawa?

USHAURI: Achague yupi kati ya wawili hawa?

Wengi suala la ndoa hulichukulia kiurahisi sana. Ni gumu na huathiri hata maisha yote yaliyobakia baada tu yakuingia kwenye ndoa. Ushauri wangu...wa kwanza hapo haipo ndoa ya furaha bali presha za kila siku. Wa pili nae hana busara anahasira ya mbogo, tupilia baharini....ngoja mmeo yupo. Achana na wanaume ambao tayari unaona hutapata amani. Unawahi nini?...unabahatisha?...nakutabiria kuwa hutajuta, utapata mme, usikimbilie maisha ya kujuta kila siku ambapo tayari una clues za tabia zao. Ninauzoefu wa miaka 18 kwenye ndoa, unaweza kuchagua wewe unataka maisha yako yafananeje kwenye ndoa yako,au unataka mwanaumme wa namna gani,ni ushauri wagu binafsi tu....
 
Mh! kikubwa msimamo wa huyo dada maana hapo bado inaonesha anapenda huku na huku atulize kwanza kichwa pili atambue huyo wa kwanza kama aliweza kumfanyia utapeli akana kwamba wameshakaa muda wote huo. kukubwa hapo ni msimamo asije akawakosa wote atulize sana kichwa la sivyo atakuja kulia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom