Ushauri:ACACIA iambieni serikali ichukue kontena moja randomly ilipeleke yenyewe nje kufanya process

Bome-e

JF-Expert Member
Jan 3, 2014
17,104
26,070
Naona hiyo ndio njia muafaka ya kuondoa huu utata, iambieni serikali ipeleke kontena nje na ifuatilie hatua kwa hatua kisha ije iseme imeingiza kiasi gani. Baada ya hapo ipige hesabu kodi ni kiasi gani na ilinganishe na iliyikuwa ikilipwa kwa kuzingatia mkataba! Nadhani hii itamaliza utata uliopo wa nani msema kweli.

Hakuna mgodi wa dhahabu uliowahi kuzalisha zaidi ya tani 62 kwa mwaka!Kwa maana nyingine hakuna mgodi uliowahi kuuza dhahabu zaidi ya trilion 4.5 kwa mwaka!
Nina mashaka sana na taarifa ya Tume!
 
Naona hiyo ndio njia muafaka ya kuondoa huu utata,iambieni serikali ipeleke kontena nje na ifuatilie hatua kwa hatua kisha ije iseme imeingiza kiasi gani!Baada ya hapo ipige hesabu kodi ni kiasi gani na ilinganishe na iliyikuwa ikilipwa kwa kuzingatia mkataba!
Nadhan hii itamaliza utata uliopo wa nani msema kweli!



iyook garama utalipa wewe?
 
Mkuu usicheze na hao ma bwanyenye, wana pesa na mtandao mkubwa, tegemea moja kati ya haya mawili.
1. Wapiga deal watabadilisha huo mchanga wenye madini na kujaza mchanga wa kigamboni kabla container halijaondoka nchini.
2. Smelting plant itakula mlungula kutoka kwa mwekezaji na% ya Gold this time itashuka hadi 0.001, hawa jamaa wana pesa na mkono mrefu.
 
Naona hiyo ndio njia muafaka ya kuondoa huu utata, iambieni serikali ipeleke kontena nje na ifuatilie hatua kwa hatua kisha ije iseme imeingiza kiasi gani. Baada ya hapo ipige hesabu kodi ni kiasi gani na ilinganishe na iliyikuwa ikilipwa kwa kuzingatia mkataba! Nadhani hii itamaliza utata uliopo wa nani msema kweli.
Wazo zuri, wasample kama contena kama 10 mkuu.
 
Mkuu usicheze na hao ma bwanyenye, wana pesa na mtandao mkubwa, tegemea moja kati ya haya mawili.
1. Wapiga deal watabadilisha huo mchanga wenye madini na kujaza mchanga wa kigamboni kabla container halijaondoka nchini.
2. Smelting plant itakula mlungula kutoka kwa mwekezaji na% ya Gold this time itashuka hadi 0.001, hawa jamaa wana pesa na mkono mrefu.
Mkuu wa msafara atakuwa PM mkuu
 
Mkuu usicheze na hao ma bwanyenye, wana pesa na mtandao mkubwa, tegemea moja kati ya haya mawili.
1. Wapiga deal watabadilisha huo mchanga wenye madini na kujaza mchanga wa kigamboni kabla container halijaondoka nchini.
2. Smelting plant itakula mlungula kutoka kwa mwekezaji na% ya Gold this time itashuka hadi 0.001, hawa jamaa wana pesa na mkono mrefu.
Wakuu wa msafara watakuwa ni Bashite na PM.
 
Hapana naona tuwalipe hiyo dhahabu tukayeyushe wenyewe, serikali ichukue jukumu la kununua hayo makinikia na prof.mruma asimamie hiyo kazi nzuri aliyoianzisha.

Wala hatuna haja ya kuyapeleka nje tuyapeleke tulawaka panatosha.
 
Labda hilo zoezi likafanyike Cuba,Urussi ivi labda tutapata majibu ya kweli ila mchakato upelekwe kwa bepari mwingine mbona majibu yake woooote tutamchukia Sizonje kua alikurupuka na kesi juu tutabambikiwa.
 
iyook garama utalipa wewe?
Hivi unajua ulichochangia???Fikiri kabla ya kuandika!Nimependekeza Acasia wamalize utata na serikali,kwa maana hiyo mzigo huo si unaenda kuwa processed kwa faida,gharama hiyo itakatwa kwenye faida as ilivyokuw
 
Mkuu usicheze na hao ma bwanyenye, wana pesa na mtandao mkubwa, tegemea moja kati ya haya mawili.
1. Wapiga deal watabadilisha huo mchanga wenye madini na kujaza mchanga wa kigamboni kabla container halijaondoka nchini.
2. Smelting plant itakula mlungula kutoka kwa mwekezaji na% ya Gold this time itashuka hadi 0.001, hawa jamaa wana pesa na mkono mrefu.
Ndio maana nimependekeza serikali ifuatilie hatua kwa hatua katika hiyo process!
 
Naona hiyo ndio njia muafaka ya kuondoa huu utata, iambieni serikali ipeleke kontena nje na ifuatilie hatua kwa hatua kisha ije iseme imeingiza kiasi gani. Baada ya hapo ipige hesabu kodi ni kiasi gani na ilinganishe na iliyikuwa ikilipwa kwa kuzingatia mkataba! Nadhani hii itamaliza utata uliopo wa nani msema kweli.

Hakuna utata wowote, ripoti ipo clear! Utata utaonekana ikiwa ripoti itakayofuata itakua tofauti na iliyotoka. So nakushauri usubiri ili uweze kuona utata.
 
Utata ameuleta nani?
Zitto au lissu au acacia??
Akili zako unazijua mwenyewe!
Acasia wamerespond kuwa kontena moja wanaingiza mil 300,tofauti na taarifa aliyopelekewa Rais!Hapo huoni kuna utata kati ya Acasia na serikali?
Hao wengine wanahusiana vp na ushauri huu
 
Hakuna utata wowote, ripoti ipo clear! Utata utaonekana ikiwa ripoti itakayofuata itakua tofauti na iliyotoka. So nakushauri usubiri ili uweze kuona utata.
Acasia wamesema wanaingiza mil 300 kwa contena!
Kwa akili yako unadhani taarifa ya Tume hizo itatosha kuwahukumu Acasia?
 
Mgodi unasema yanathamani ya 300m wakati uhalisia yana 1.tr tuwape hiyo 300m tukapige hela ndefu.
Sasa wanaogopa nini?Tuwape hiyo mil 300 kwa kontena moja then sisi tukapige mpunga
 
Back
Top Bottom