Swenailie
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 240
- 230
Wanajamvi ushauri tafadhali,
Nilibrake na mtu miezi kadhaa uchungu niliokuwa nao ulikuwa mkubwa sana stuntman kuwa na uhusiano wowote. Mtu aliniacha yeye. Nilikuwa nalia hasubuhi na usku yan nikiamka nasali afu nikiwa nasali namwambia Mungu niko peke yangu ila nijalie furaha niishi nawe ikikupendeza utanipa mwenza. Hasubuhi na usku nikilala hata kama nimepitiwa usingiz naweza shituka nikajikuta nalia afu nasema Mungu we wajua.
Tangu huyo mpenz alivoniacha skuwahi kuwasiliana nae miezi yote hiyo. Sku moja nilikuwa nimelala nikashangaa usingiz umekata mida ya saa saba nikiwa na uchungu mwingi had nkalia najiuliza why ameniacha angali nampenda kosa langu lolote ameonaje siwezi kubadilika? Nililia sana angali nalia nkaanza kuandika meseji ndefu namuuliza why umeniacha Ni kweli madhaifu yangu umeshindwa kunibadilisha sababu kuu yakuniacha Ni nn? Naomba ujue nakupenda. Niliandika nikiwa nalia sana usku huo. Nikatuma. Nimekaa kidgo usingiz ukanipitia
Hasubuhi naamka nakuta jibu anasema tutazungumza mh nikajiuliza nn hiki naangalia meseji Niliandika mm kabisa., nikapumua kwa nguvu afu nkasali Nilisali huku nalia nasema Mungu sihitaji kuumia tena kama aliniacha afu nimemtafuta mm asinirudie kwa kunionea huruma kama si wangu asinirudie aende kabisa stak kuumia.
Nilipomaliza nilijiskia mwepesi ule uchungu wa miezi yote Ile haupo nkajishangaa. Haya Sku tuliyopanga tuonane tuongee akapata dharura tukaahirisha..
Hadi Leo hii naandika hapa hatujaonana ila tunaweza Onana next time
Sasa shida Ni kwamba siku Ile naandika vile kumsihi kama ninakosa anisamehe kama ninamapungufu aniambie nijirekebishe nilikuwa nauchungu naumia ila baada ya kusali najihis mzma sina uchungu tena sion kama ninauhitaji tena.
Afu najiona sistahili kurudiana nae tena sasa afu bado nawasiliana nae and perhaps anampango tuonane na mm huo mpango umepotea kabisa. Nifanyeje?
Ushaur tafadhali
Nilibrake na mtu miezi kadhaa uchungu niliokuwa nao ulikuwa mkubwa sana stuntman kuwa na uhusiano wowote. Mtu aliniacha yeye. Nilikuwa nalia hasubuhi na usku yan nikiamka nasali afu nikiwa nasali namwambia Mungu niko peke yangu ila nijalie furaha niishi nawe ikikupendeza utanipa mwenza. Hasubuhi na usku nikilala hata kama nimepitiwa usingiz naweza shituka nikajikuta nalia afu nasema Mungu we wajua.
Tangu huyo mpenz alivoniacha skuwahi kuwasiliana nae miezi yote hiyo. Sku moja nilikuwa nimelala nikashangaa usingiz umekata mida ya saa saba nikiwa na uchungu mwingi had nkalia najiuliza why ameniacha angali nampenda kosa langu lolote ameonaje siwezi kubadilika? Nililia sana angali nalia nkaanza kuandika meseji ndefu namuuliza why umeniacha Ni kweli madhaifu yangu umeshindwa kunibadilisha sababu kuu yakuniacha Ni nn? Naomba ujue nakupenda. Niliandika nikiwa nalia sana usku huo. Nikatuma. Nimekaa kidgo usingiz ukanipitia
Hasubuhi naamka nakuta jibu anasema tutazungumza mh nikajiuliza nn hiki naangalia meseji Niliandika mm kabisa., nikapumua kwa nguvu afu nkasali Nilisali huku nalia nasema Mungu sihitaji kuumia tena kama aliniacha afu nimemtafuta mm asinirudie kwa kunionea huruma kama si wangu asinirudie aende kabisa stak kuumia.
Nilipomaliza nilijiskia mwepesi ule uchungu wa miezi yote Ile haupo nkajishangaa. Haya Sku tuliyopanga tuonane tuongee akapata dharura tukaahirisha..
Hadi Leo hii naandika hapa hatujaonana ila tunaweza Onana next time
Sasa shida Ni kwamba siku Ile naandika vile kumsihi kama ninakosa anisamehe kama ninamapungufu aniambie nijirekebishe nilikuwa nauchungu naumia ila baada ya kusali najihis mzma sina uchungu tena sion kama ninauhitaji tena.
Afu najiona sistahili kurudiana nae tena sasa afu bado nawasiliana nae and perhaps anampango tuonane na mm huo mpango umepotea kabisa. Nifanyeje?
Ushaur tafadhali