BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
miaka 39 ana ujimama gani hapo ????
Na wewe miaka 20 unajiona mtoto?
Na wewe miaka 20 unajiona mtoto?
Tumia pesaJimama moja hapa mjini kwetu limetokea kunipenda sana kimapenzi eti,,eti linasema nilikubalie kabla ya yote tukapime afya zetu ndo tunanii..jimama lenyewe pesa usiulize ni za kutosha, ili jimama umri wake miaka 39 mimi miaka 20 dah!.,ebu nisaidieni kwa ushauri.