Ushaur muhimu unahitajika wakuu,

Ushaur muhimu unahitajika wakuu,

ndonger

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2018
Posts
898
Reaction score
1,645
Kuna jamaa,yuko kwenye mahusiano na binti mmoja wamezaa na mtoto wanaishi pa1.

Mwanamke wake waliyezaa nae ana mtoto mwingne tayar alizaa kitambo huko kabla hajakutana na mwana ,hata baba hajulikani enewei

Huyu dada ana mapungufu meng according to jamaa,controling,ukali,wivu na mambo meeng siwez orodhesha hapa kias kwamba hakuna amani ndan ya nyumba.kuna muda had anamtimua mwana usiku usiku,mwana hanywi pombe wala sigara na anarud kwa wakat home,changamoto ni kwamba bibie ni mkali sana na anataka vitu anavyotaka yeye tuu

Mwana akawa anachoka akajikuta ameanzisha mahusiano na mwanamke mwingne angalau akawa anapata faraja,sasa wana miez kama 8 na huyu mwanamke mwingne na mapenz ni ya moto kwelkwel ingawa sasa huyu mchepuko ingawa anajua story yote ya mwana ,alikubal kuwa na mwana hvyo hvyo

Ila sasa mchepuko nae anataka attention,yaan anademand mwana awe naye 100%,na wanagombana na mwana sabab mwana hayuko 100% sabab kule kwingne ana mtoto ,na mchepuko hilo jambo linampa wivu hatar.hata mwana akienda mwona mtoto wake,au kupigiwa simu na baby mama wake mchepuko anakasirika sana.,na mwana anampenda sana mchepuko kwa sasa....

Sasa ni hivi mchepuko katishia kumuacha mwana kama hali utaendelea hvyo,so mwana anaomba ushaur wenu,..kumbuka mwana alitimuliwa kitambo na bebi mama wake now anaish mtaan tu..ila mchepuko nae katishia kumpiga chini mwana kama ataendelea kutompa muda na kuachana kabisa na bebi mama wake...
Mwana afanyeje
Nawasilisha kwa niaba
 
Kuna jamaa,yuko kwenye mahusiano na binti mmoja wamezaa na mtoto wanaishi pa1.

Mwanamke wake waliyezaa nae ana mtoto mwingne tayar alizaa kitambo huko kabla hajakutana na mwana ,hata baba hajulikani enewei

Huyu dada ana mapungufu meng according to jamaa,controling,ukali,wivu na mambo meeng siwez orodhesha hapa kias kwamba hakuna amani ndan ya nyumba.kuna muda had anamtimua mwana usiku usiku,mwana hanywi pombe wala sigara na anarud kwa wakat home,changamoto ni kwamba bibie ni mkali sana na anataka vitu anavyotaka yeye tuu

Mwana akawa anachoka akajikuta ameanzisha mahusiano na mwanamke mwingne angalau akawa anapata faraja,sasa wana miez kama 8 na huyu mwanamke mwingne na mapenz ni ya moto kwelkwel ingawa sasa huyu mchepuko ingawa anajua story yote ya mwana ,alikubal kuwa na mwana hvyo hvyo

Ila sasa mchepuko nae anataka attention,yaan anademand mwana awe naye 100%,na wanagombana na mwana sabab mwana hayuko 100% sabab kule kwingne ana mtoto ,na mchepuko hilo jambo linampa wivu hatar.hata mwana akienda mwona mtoto wake,au kupigiwa simu na baby mama wake mchepuko anakasirika sana.,na mwana anampenda sana mchepuko kwa sasa....

Sasa ni hivi mchepuko katishia kumuacha mwana kama hali utaendelea hvyo,so mwana anaomba ushaur wenu,..kumbuka mwana alitimuliwa kitambo na bebi mama wake now anaish mtaan tu..ila mchepuko nae katishia kumpiga chini mwana kama ataendelea kutompa muda na kuachana kabisa na bebi mama wake...
Mwana afanyeje
Nawasilisha kwa niaba
huyo jamaa yako hajajua kujisimamia ipasavyo na wamemsoma. apumuzishe mahusiano yote kama week 2 au mwezi asafiri au aende mahali mbali na wote akajitafakari anataka nini yeye kama yeye yaani anataka maisha gani,harafu aangalie tabia gani zitamfikisha kwenye hayo maisha. aweke mipaka yake na aifuate. akirudi afuate hayo aliyojipangia yeye kama yeye asimame. inaelekea hajasort out mipangilio yake ndio maana anavutwa huku na huku,anakimbia mama mtoto, na hayo mengine. tatizo lake kubwa ni yeye mwenyewe sio hao wanawake asort out na muhimu asiache kumuhudumia mtoto .
 
Ndiyo mjifunze sasa wanaume,hiyo michepuko mnatafuta nje ya ndoa,ni kwamba hakuna mwanamke anataka kuwa na mwenzie ni bas tu kunakuwa hakuna namna inabidi mtu apretend kwamba kakubaliana na hali hiyo.
Kiufupi unapochepuka unaingiza mdudu ndani ya ndoa yako,amani kuipata inakuwa ni nadra sana.

Mkuu, mwambie huyo jamaa aachane na mapenzi,yeye atafute hela,apange hata room moja tu aendelee kufocus na utafutaji pesa,asipojiangalia anabeba jukumu lingine la kulea mtoto mwingine huku nje soon
 
Kuna jamaa,yuko kwenye mahusiano na binti mmoja wamezaa na mtoto wanaishi pa1.

Mwanamke wake waliyezaa nae ana mtoto mwingne tayar alizaa kitambo huko kabla hajakutana na mwana ,hata baba hajulikani enewei

Huyu dada ana mapungufu meng according to jamaa,controling,ukali,wivu na mambo meeng siwez orodhesha hapa kias kwamba hakuna amani ndan ya nyumba.kuna muda had anamtimua mwana usiku usiku,mwana hanywi pombe wala sigara na anarud kwa wakat home,changamoto ni kwamba bibie ni mkali sana na anataka vitu anavyotaka yeye tuu

Mwana akawa anachoka akajikuta ameanzisha mahusiano na mwanamke mwingne angalau akawa anapata faraja,sasa wana miez kama 8 na huyu mwanamke mwingne na mapenz ni ya moto kwelkwel ingawa sasa huyu mchepuko ingawa anajua story yote ya mwana ,alikubal kuwa na mwana hvyo hvyo

Ila sasa mchepuko nae anataka attention,yaan anademand mwana awe naye 100%,na wanagombana na mwana sabab mwana hayuko 100% sabab kule kwingne ana mtoto ,na mchepuko hilo jambo linampa wivu hatar.hata mwana akienda mwona mtoto wake,au kupigiwa simu na baby mama wake mchepuko anakasirika sana.,na mwana anampenda sana mchepuko kwa sasa....

Sasa ni hivi mchepuko katishia kumuacha mwana kama hali utaendelea hvyo,so mwana anaomba ushaur wenu,..kumbuka mwana alitimuliwa kitambo na bebi mama wake now anaish mtaan tu..ila mchepuko nae katishia kumpiga chini mwana kama ataendelea kutompa muda na kuachana kabisa na bebi mama wake...
Mwana afanyeje
Nawasilisha kwa niaba
Kwa kifupi hata uyo mtoto sio wake,mwambie arudi jandoni kwanza
 
Kah! tuanze kutoa ushauri na kwa michepuko? michepuko is at your own risk.

Hapa tunashauri tu namna ya kuijenga na kuimarisha ndoa kwa kutatua changamoto zilizopo
 
Kuna jamaa,yuko kwenye mahusiano na binti mmoja wamezaa na mtoto wanaishi pa1.

Mwanamke wake waliyezaa nae ana mtoto mwingne tayar alizaa kitambo huko kabla hajakutana na mwana ,hata baba hajulikani enewei

Huyu dada ana mapungufu meng according to jamaa,controling,ukali,wivu na mambo meeng siwez orodhesha hapa kias kwamba hakuna amani ndan ya nyumba.kuna muda had anamtimua mwana usiku usiku,mwana hanywi pombe wala sigara na anarud kwa wakat home,changamoto ni kwamba bibie ni mkali sana na anataka vitu anavyotaka yeye tuu

Mwana akawa anachoka akajikuta ameanzisha mahusiano na mwanamke mwingne angalau akawa anapata faraja,sasa wana miez kama 8 na huyu mwanamke mwingne na mapenz ni ya moto kwelkwel ingawa sasa huyu mchepuko ingawa anajua story yote ya mwana ,alikubal kuwa na mwana hvyo hvyo

Ila sasa mchepuko nae anataka attention,yaan anademand mwana awe naye 100%,na wanagombana na mwana sabab mwana hayuko 100% sabab kule kwingne ana mtoto ,na mchepuko hilo jambo linampa wivu hatar.hata mwana akienda mwona mtoto wake,au kupigiwa simu na baby mama wake mchepuko anakasirika sana.,na mwana anampenda sana mchepuko kwa sasa....

Sasa ni hivi mchepuko katishia kumuacha mwana kama hali utaendelea hvyo,so mwana anaomba ushaur wenu,..kumbuka mwana alitimuliwa kitambo na bebi mama wake now anaish mtaan tu..ila mchepuko nae katishia kumpiga chini mwana kama ataendelea kutompa muda na kuachana kabisa na bebi mama wake...
Mwana afanyeje
Nawasilisha kwa niaba
hakuna cha kwa niaba wala nini! hukumsikia mandonga aliposema usivamie mtumbwi wa vibwengo? umelikoroga sasa ni muda wa kulinywa na kwa ushauri zaidi muone Jokajeusi.
 
Kuna jamaa,yuko kwenye mahusiano na binti mmoja wamezaa na mtoto wanaishi pa1.

Mwanamke wake waliyezaa nae ana mtoto mwingne tayar alizaa kitambo huko kabla hajakutana na mwana ,hata baba hajulikani enewei

Huyu dada ana mapungufu meng according to jamaa,controling,ukali,wivu na mambo meeng siwez orodhesha hapa kias kwamba hakuna amani ndan ya nyumba.kuna muda had anamtimua mwana usiku usiku,mwana hanywi pombe wala sigara na anarud kwa wakat home,changamoto ni kwamba bibie ni mkali sana na anataka vitu anavyotaka yeye tuu

Mwana akawa anachoka akajikuta ameanzisha mahusiano na mwanamke mwingne angalau akawa anapata faraja,sasa wana miez kama 8 na huyu mwanamke mwingne na mapenz ni ya moto kwelkwel ingawa sasa huyu mchepuko ingawa anajua story yote ya mwana ,alikubal kuwa na mwana hvyo hvyo

Ila sasa mchepuko nae anataka attention,yaan anademand mwana awe naye 100%,na wanagombana na mwana sabab mwana hayuko 100% sabab kule kwingne ana mtoto ,na mchepuko hilo jambo linampa wivu hatar.hata mwana akienda mwona mtoto wake,au kupigiwa simu na baby mama wake mchepuko anakasirika sana.,na mwana anampenda sana mchepuko kwa sasa....

Sasa ni hivi mchepuko katishia kumuacha mwana kama hali utaendelea hvyo,so mwana anaomba ushaur wenu,..kumbuka mwana alitimuliwa kitambo na bebi mama wake now anaish mtaan tu..ila mchepuko nae katishia kumpiga chini mwana kama ataendelea kutompa muda na kuachana kabisa na bebi mama wake...
Mwana afanyeje
Nawasilisha kwa niaba
Wewe na huyo mwana mwende Veta pliz
 
Hivi mtu unapigwaje na mwanamke hadi unatimuliwa nyumbani kwako tena na singo maza ambae anamtoto mwingine na sio mkee wa ndoa inafikirisha sana Au niki beaten ndio wale wanaume takataka wa kuvizia mwanamke akatafute huku yeye ameweka miguu juu kuangalia tamthilia.
 
Back
Top Bottom